Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Spika wa Bunge Job Ndugai leo Novemba 15, 2018 amemtoa bungeni Mbunge wa Mlimba, Suzan Kiwanga (CHADEMA), na kumtaka kutohudhuria vikao vya bunge hadi bunge la bajeti lijalo mwakani 2019, kwa kosa la kuingilia hoja ya Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmad Katani (CUF), aliyekuwa akikanusha taarifa za kujiuzulu ubunge jijini Dodoma.