K A B U R U
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 818
- 1,067
Haya matumizi ndio ambayo CAG anatakiwa kuanza nayo.
Gog?Mama Kavishe ni Pure Kaskazini stand up, keep hands up.......... Wachaga tunaaminika kwa uchapa kazi wetu, Gog pleas bless us....
Unaleta mambo yako tena hapa ya kimukund*** kund***Mama Kavishe ni Pure Kaskazini stand up, keep hands up.......... Wachaga tunaaminika kwa uchapa kazi wetu, Gog pleas bless us....
Like father like son, ametumia kifungu gani kumpa hela hiyo! By the way, ana umri gani maana Adam Sapi Mkwawa alikuwa spika miaka ya December 27, 1962 .... huyu mama alikuwa na umri gani na bado yuko ofisini!
Acha kuuliza maswali ya kishenziUmri wa nini sasa?!
Mama Kavishe ni Pure Kaskazini stand up, keep hands up.......... Wachaga tunaaminika kwa uchapa kazi wetu, Gog pleas bless us....
Amesema alihudumu wakati Adam Sapi akiwa spika. Huo mwaka ulioandika, ndiyo mwaka wa mwisho ambao Sapi alikuwa spika?
Adam Sapi Mkwawa alikuwa Spika 1964 - 1973. Lakini kwa vyovyote vile huyo Mama hatakuwa chini ua umri wa miaka 60.
Like father like son, ametumia kifungu gani kumpa hela hiyo! By the way, ana umri gani maana Adam Sapi Mkwawa alikuwa spika miaka ya December 27, 1962 .... huyu mama alikuwa na umri gani na bado yuko ofisini!
Sapi mkwawa kastaafu mwaka 1994....sasa mama kavishe yeye alianza kazi 1991Like father like son, ametumia kifungu gani kumpa hela hiyo! By the way, ana umri gani maana Adam Sapi Mkwawa alikuwa spika miaka ya December 27, 1962 .... huyu mama alikuwa na umri gani na bado yuko ofisini!
pia ukumbuke adam sapi alianza mwaka 1962 na akastaafu rasmi miaka ya 1990,sLike father like son, ametumia kifungu gani kumpa hela hiyo! By the way, ana umri gani maana Adam Sapi Mkwawa alikuwa spika miaka ya December 27, 1962 .... huyu mama alikuwa na umri gani na bado yuko ofisini!
Hapa husikii kanda ile wakilalamika Ukabila au ukanda. Hizi ndio habari wanazopenda kuzisikia na wewe umeonesha wazi kabisa jinsi ulivyo mkabila. Huwa nasema HAKUNA WATU WABAGUZI NA WAKABILA KAMA WACHAGA.Mama Kavishe ni Pure Kaskazini stand up, keep hands up.......... Wachaga tunaaminika kwa uchapa kazi wetu, Gog pleas bless us....
Kwa kawaida zawadi ya Mfanyakazi bora hutolewa siku ya wafanyakazi duniani yaani mei mosi au mimi ndiye sielewi???Kamati ya Mfanyakazi Bora Ofisi ya Bunge ndio imemteua Mama Kavishe kuwa Mfanyakazi bora kama wafanyavyo ofisi kadhaa
Kwa Mujibu wa Bajeti ya Ofisi ya Bunge Mfanyakazi bora wa Mwaka hulipwa 10 Mill
Sasa wana Siasa kwa kupenda Kick wakaji ‘sandwich’ ili wachukue Sifa kuwa huo ni uamuzi wao Binafsi. Shkamooni Wanasiasa poppet mlipo
Hawa Tanzania nzima kabila la maana na lazima wawe viongoz ni WACHAGA TU?Mbona hatusikii wanyia, wakinga, wasafwa wakilalamika?Wachaga mnauspecial gani ktk hili Taifa?It's just like a drop in the sea na walifanya hivyo eti kuonekana neutral kama trump alivyofanya kwa Ben Curson.
Kwani nani hawajui nyinyi watu?
Sema kapewa mchaga, Huyo mama angekua msukuma mngekuja kupinga hapa.Toka pesa za serikali zianze kutolewa hovyo
leo ndio naona wamefanya jambo zuri
Kwa kawaida zawadi ya Mfanyakazi bora hutolewa siku ya wafanyakazi duniani yaani mei mosi au mimi ndiye sielewi???
Mm sizan kama ilkuwa na maan kuanza kupongezana ndani ya bunge wakati kuna mamb ya msingi ya kujadili yanayohusu maendeleoSio Lazima japo wengi ( sio wote) hufanya hivyo
May Mosi hutolewa zawadi kwa wale washindi wa Jumla kwny maadhimisho
Mbona huko juu ulisema John hajaenda shule?Jitaidi kuwa na akiba ya maneno na punguza ujuaji wa kijinga.Unaweza ukawa sahihi!
List of Speakers of the National Assembly of Tanzania.
Below is a list of office-holders:
Name Took office Left office Notes Adam Sapi Mkwawa 26 April 1964 19 November 1973 Mkwawa was elected as Speaker of the National Assembly of Tanganyika on 27 November 1962[1] Erasto Andrew Mbwana Mang'enya 20 November 1973 5 November 1975 [1] Adam Sapi Mkwawa 6 November 1975 25 April 1994 [1] Pius Msekwa 28 April 1994 28 November 2005 [1] Samuel Sitta 28 December 2005 2010 [1] Anne Makinda 10 November 2010 16 November 2015 [1] Job Ndugai 17 November 2015 Incumbent [1]