YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Anastahili kabisa hongera mama Kavishe jirani yangu mtu wa watuSpika Ndugai amemuita mhudumu wa ofisi yake mama Kavishe mbele ya bunge zima ili kumtambulisha na kumpongeza.
Mh Ndugai amesema mama Kavishe amehudumia maspika wote kuanzia Chifu Mkwawa, mh Msekwa, mhSitta, mh Makinda na sasa yeye kwa uaminifu mkubwa.
Spika Ndugai amemwagiza Katibu wa bunge ampatie mama Kavishe zawadi ya sh milioni 10, bunge zima lililipuka kwa shangwe na vigeregere.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!