Spika Ndugai alitaka Bunge kubadili Sheria ya HESLB ili wanafunzi wa VETA na NACTE wapate mikopo pia

Ni ngumu sana kumwamini ahetani anaweza kukupa kitu bila hila. Wazo hilo lilipotolewa na mbunge wa CHADEMA, leo analiunga mkono. Je, wakati ule alipopinga, alikuwa kwenye uwendawazimu?
 
Higher Education Students Loans Board?
Sasa taasisi za elimu ya juu ni pamoja na hizo amako kunafundisha umakenika?
Jitu halijui elimu ya juu ni nini alafu ni mkuu wa mhimili. Shame😡😡😡😡
 
Nimependa mapendekezo ya Spika leo.

Anataka kuona sheria inayowapa mikopo wanafunzi wa TCU, VETA, NACTE.

Anataka 70% ya fedha za HESLB ziende ktk sayansi na teknolojia.

Ameyasema haya kwenye kilele cha mashindano ya sayansi, teknolojia na ubunifu.

Kila la kheri wabunge wetu. Tumieni hati ya dharula kutekeleza jambo hili

Lakini msisahau kuwa ufanisi wa mawazo haya utahitaji Bodi hii kupewa uwezo wa kufanya harambee duniani kote ili kutunisha mfuko wake.
Lazima amedesa kwa mtu, haiwezekani ikawa wazo lake
 
Spika Ni makini haijawahi tokea
1620746578839.png
 
Hivi kweli Mh. Ndugai hajui kirefu cha HESLB kweliii?. Labda aseme sheria iwe repealed then waje na sheria mpya itakayoanzisha Bodi ya Mkopo wa Elimu. Itambue ngazi zote za elimu za fani, cheti mpaka PhD

Ila kwa Bodi hii ya Elimu ya Juu hapana
 
Nimependa mapendekezo ya Spika leo.

Anataka kuona sheria inayowapa mikopo wanafunzi wa TCU, VETA, NACTE.

Anataka 70% ya fedha za HESLB ziende ktk sayansi na teknolojia.

Ameyasema haya kwenye kilele cha mashindano ya sayansi, teknolojia na ubunifu.

Kila la kheri wabunge wetu. Tumieni hati ya dharula kutekeleza jambo hili

Lakini msisahau kuwa ufanisi wa mawazo haya utahitaji Bodi hii kupewa uwezo wa kufanya harambee duniani kote ili kutunisha mfuko wake.

Yaani bunge ni dhaifu mpaka spika anajaribu kuwa Mbowe wa bunge😂
 
Back
Top Bottom