Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,907
- 4,771
Udikteta. Hawataki kukosolewa.Bunge la JMT lilipitisha tozo ambazo ama kwa hakika zilizua tafrani na kuzua kilio kwa wananchi, bila hata aibu Mwigulu Nchemba akainuka na kudai kuwa ambae hataki kulipa tozo basi ahamie Burundi...