Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
- Thread starter
- #101
Mbona haki yake ambayo iipo kwa mujibu wa sheria za Bunge, kupatiwa matibabu ndani ya nchi na nje ya nchi, hamjampa??Masikini
'Masikini aonewe lakini ni lazima haki apewe'
Kwenye hili, mimi ninadhani tunamuonea spika na kwenye hili jamvi hili inabidi ilijadili jambo hili bila jazba.
1. Ndugu Tundu Lissu ni kweli alikuwa anaumwa na wote tunafahamu kuwa yuko nje ya nchi kwa matibabu.
Lakini hizi ziara zake huko nje ni za kitabibu[ ninaona alichokuwa anakifanya mbowe kinajirudia]
2. Jee kanuni za bunge zinasema nini kuhusu hili?
3. Jee hizo safari ambazo ndugu TL anazifanya zimeidhinishwa na nani?
4. Jee ni namna gani mbunge anaweza kupoteza ubunge?
Hizo zote ni ishara ya namna mnavyomchukia Mbunge Tundu Lissu
Lakini yeye mwenyewe amesema kuwa mmejaribu kumpiga risasi zaidi ya 30 kwa lengo la kumuua, IMESHINDIKANA
Mnajaribu kumvua ubunge kwa hila nayo ITASHINDIKANA
Mungu yupo na Tundu Lissu na ataendelea kumlinda na watesi wake