johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
- Thread starter
- #21
Siasa ni sayansi!Kumbe! Ukute ndo maana amekuwa bitter sana baada ya Katibu wake aliyepewa na meko kuondolewa
Siasa ni sayansi!Kumbe! Ukute ndo maana amekuwa bitter sana baada ya Katibu wake aliyepewa na meko kuondolewa
Si kweli.Anakuaga na mtindo wa kuitisha serikali toka kitambo enzi za Mwendazake Kisha anaitwa na kueka Mambo sawa. Maza Hana iyo mimambo ye anadili nae mdogo mdogo ashamuondolea Yule katibu wa bunge Kigaigai kamueka wake. Anamnyoosha tu
kuhusu Bandari ya Bagamoyo na mengineyo mengi akiwaachia wapinzani air time nyingi tuSi kweli.
Lini aliwahi kuitisha serikali ya JIWE?
Kama nilimuelewa vizuri alikuwa anaunga mkono hoja iliyoletwa na mbunge mmoja kuhusu mchezo wa serikali kupelekea halmashauri mapesa kibao ya mradi muda mfupi kabla ya mwaka wa fedha kuisha, halafu kuzichukua tena kwa kisingizio kuwa halmashauri imeshindwa kutumia!Spika wa bunge mh Ndugai amesema anakerwa sana na kitendo cha serikali kuchukua fedha za halmashauri bila taarifa na kwenda kuzitumia huku miradi ikidorora.
Ndugai amesema haoni mantiki ya serikali kuchukua fedha ambazo hazijatumika kila ifikapo June 10 bila kujali kwamba kuna miradi inakuwa bado haijakamilika.
Spika Ndugai amekumbusha kuwa nchi za wenzetu wakati wa kampeni huwa wanaahidu kuendesha " less government" tofauti na sisi ambapo serikali imebana kila mahali kiasi cha kuwafanya wananchi wakose hata nafasi ya kupumua.
" Yaani kila upande unaogeuka unakutana na serikali watu wanashindwa hata kujiachia achia" amesisitiza Ndugai.
Source: ITV habari!
Ndugai ni mzalendo!kuhusu Bandari ya Bagamoyo na mengineyo mengi akiwaachia wapinzani air time nyingi tu
Bwashee unaelewamaana halisi ya uzalendo kweliNdugai ni mzalendo!