Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Ndugai yupo sahihi kwa sasa mawaziri wote ofisi zao zipo Dodoma kwa hiyo waziri akifanyia kazi zake Dar inamaana yupo nje ya ofisi hivyo anastahili kulipwa stahiki zote kama sheria ya kazi inavyosemaKwanza ni mpuuzi Sana,nikajua labda kuna mambo yamekwama kumbe anaropoka tuu ,utekelezaji unafanyika kama ilivyopangwa sasa huyu mtu sijui huwa ana shida gani.
Transport allowance
Mills allowance
Accommodation allowance
Over time allowance
Hizi zote ni pesa za walipa kodi zinatafunwa bila ya sababu za msingi