Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dares salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Hivi Speaker Nate anaweza kuitwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge? Mbona kama vile anaingilia Mhimili wa Serikali?
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dares salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Hivi Speaker Nate anaweza kuitwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge? Mbona kama vile anaingilia Mhimili wa Serikali?
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dares salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Pesa tuazo za kutosha, tozo na sasa mpango wa kodi ya majengo kupitia LUKU ushashika kasi. Usihofu mheshimiwa
 
Nini maana ya makao makuu ya serikali kuwa Dodoma? na hiyo siyo maneno ya blah blah ni sheria......Dar ni commercial capital kama ilivyo Lagos kule Nigeria.....kadri watu wanavyoendelea kukamuliwa tozo ndo na safari za vigogo Dar-Dom, Dom-Dar zinavyoongezeka. Swali lililoulizwa hapa ni nani ana control government expenditure?
Kipindi cha mwendazake ni nani alikuwa anacontrol hiyo expenditure? Mbona hajawahi kuuliza swali hilo ilhali kuna wakati ikuli ilihamiaga Chato? Ndugai yupo kwenye kamati ya fitna na roho mbaya dhidi SSH.
 
Hela zetu za kodi na tozo zinachezewa sana. Hii mambo ya posho na safari ni wizi mtupu. Serikali ipo ili kutumikia watu. Ukiona watu wanatengeneza schemes za kulipana posho badala ya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watu wake ujue kuna shida kubwa sana ndani ya serikali hiyo.
 
Hela zetu za kodi na tozo zinachezewa sana. Hii mambo ya posho na safari ni wizi mtupu. Serikali ipo ili kutumikia watu. Ukiona watu wanatengeneza schemes za kulipana posho badala ya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watu wake ujue kuna shida kubwa sana ndani ya serikali hiyo.
Kabisa
 
Hela zetu za kodi na tozo zinachezewa sana. Hii mambo ya posho na safari ni wizi mtupu. Serikali ipo ili kutumikia watu. Ukiona watu wanatengeneza schemes za kulipana posho badala ya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watu wake ujue kuna shida kubwa sana ndani ya serikali hiyo.
Watu wenye kazi za field ambao ndo wanatakiwa wafanye project za kutatua changamoto za wananchi hawana posho, ila posho za wasafiri wa Dar-Dom, Dom-Dar zipo za kutosha.........
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dares salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
Aiseeh!
 
Hayo matozo wanayotunyonya ndio wanagharamia hayo.

Mungu atawalipa tu inavyostahili maana Mungu si wa kunyamazia dhuluma.
 
Back
Top Bottom