johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,431
Spika wa bunge Mh. Ndugai ameahirisha vikao vya bunge hadi watakapokutana tena kwenye mkutano wa vikao vya bajeti mwezi March, 30.
Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini wawapo barabarani na kuacha tabia ya kukimbia kimbia hovyo.
Mwisho, Spika Ndugai amewataka wabunge wote kukusanyika kwenye viwanja vya bunge ili kutoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Muhambwe aliyefariki dunia kwa ajali.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini wawapo barabarani na kuacha tabia ya kukimbia kimbia hovyo.
Mwisho, Spika Ndugai amewataka wabunge wote kukusanyika kwenye viwanja vya bunge ili kutoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Muhambwe aliyefariki dunia kwa ajali.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!