Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Wewe mwenyewe uma uhakika gani kama utakuwepo March?Sidhani Kama watarudi wote hiyo March.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe uma uhakika gani kama utakuwepo March?Sidhani Kama watarudi wote hiyo March.
Mimi ninao uhakika. Sio march tu bado nipo sana.Wewe mwenyewe uma uhakika gani kama utakuwepo March?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ratiba ya kawaida!Sababu za kuahirisha bunge ni zipi!?
Ratiba!Msiba
Tatizo kubwa ni hapo , watu wanaogopa kujikinga. Mtu unaogopa kuvaa barakoa kweli uoga wa aina hii sijaona.Unadhani ugonjwa una adabu, unaleta siasa katika afya za watu. naona wabunge hapo wanashukuru Mungu maana wanaujuwa ukweli hali mbaya ila wanaogopa hata kuvaa mask lakini mwisho wa siku imebidi aongee tu maana kuna fununu baadhi ya mawaziri wanajiganga hakuna siri tena. ila mimi naamini hawa wakubwa chanjo wamepiga kimya kimya.
Hata bunge linaiogopa serikali kutoa tahadhari ya corona, Mahakamani Mawakili, Majaji na Mahakimu wanateketea lakini hakuna hata tamko la kuzugiaSpika wa bunge Mh. Ndugai ameahirisha vikao vya bunge hadi watakapokutana tena kwenye mkutano wa vikao vya bajeti mwezi March, 30.
Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini wawapo barabarani na kuacha tabia ya kukimbia kimbia hovyo.
Mwisho, Spika Ndugai amewataka wabunge wote kukusanyika kwenye viwanja vya bunge ili kutoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Muhambwe aliyefariki dunia kwa ajali.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Ubunge ni zaidi ya barakoa!Tatizo kubwa ni hapo , watu wanaogopa kujikinga. Mtu unaogopa kuvaa barakoa kweli uoga wa aina hii sijaona.
Yani bora kufa kuliko kuvaa barakoa.
Kawaida vikao uhairishwa na PM, leo vp au na yeye yupo aisiyuSpika wa bunge Mh. Ndugai ameahirisha vikao vya bunge hadi watakapokutana tena kwenye mkutano wa vikao vya bajeti mwezi March, 30.
Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini wawapo barabarani na kuacha tabia ya kukimbia kimbia hovyo.
Mwisho, Spika Ndugai amewataka wabunge wote kukusanyika kwenye viwanja vya bunge ili kutoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Muhambwe aliyefariki dunia kwa ajali.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Coincidence nyingine hapana.Arcado Ntagazwa alikuwa zamani mbunge wa Muhambwe kafariki na Nditiye ni mbunge Current wa Muhambwe kafariki at the same period. .Is it a coincidence or what? Watu wa Muhambwe kulikoni ? ushirikina or what?
Kazi ya ubunge na kinga inaweza kufanyika kwa pamoja. Hamna mtu amewaambia wachague kati ya ubunge au kujikinga na corona.Ubunge ni zaidi ya barakoa!
PM huwa anatoa hoja ya kuomba bunge liahirishwe lakini maamuzi ya mwisho ni ya Spika baada ya kulihoji bunge!Kawaida vikao uhairishwa na PM, leo vp au na yeye yupo aisiyu
Nakumbuka Felix alilia mbele ya Tundu Lisu wakati wa kampeni!Coincidence nyingine hapana.
Bwashee; hawa mawaziri walikuwepo wakati anaahirisha bangi?Spika wa bunge Mh. Ndugai ameahirisha vikao vya bunge hadi watakapokutana tena kwenye mkutano wa vikao vya bajeti mwezi March, 30.
Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini wawapo barabarani na kuacha tabia ya kukimbia kimbia hovyo.
Mwisho, Spika Ndugai amewataka wabunge wote kukusanyika kwenye viwanja vya bunge ili kutoa heshima za mwisho kwa mbunge wa Muhambwe aliyefariki dunia kwa ajali.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu punguza uchuro,Majariwa yuko fiti,acha kumuombea mabaya,huyo ndo rais wako ,Leo bungeni alikuwepo tena yuko fiti,pitia huu uzi>>>>Waziri Mkuu: Kitendo cha Namungo FC kuzuiliwa uwanja wa Ndege ni siasa za sokaKawaida vikao uhairishwa na PM, leo vp au na yeye yupo aisiyu
Nimemwona Mwigullu Nchemba bwashee!Bwashee; hawa mawaziri walikuwepo wakati anaahirisha bangi?
??????????
- Mpango
- Lukuvi
- Mkuchika
Ndo shida ya kuukimbia ukweli , Wana struggle sana kuwa na kauli amabayo ita re place ukweli bila ya wao kuonekana kuwa wamefeli zoezi zima.Habari za kujikinga zinatolewa kwa code ngumu kweli ku decrypt.
Kwasabb afya yake ni ya kufunga kwa manatiSpika Ndugai ameomba Mungu awasaidie wakutane tena uso kwa uso!
Hata wewe kesho yako hauijui!Kwasabb afya yake ni ya kufunga kwa manati
Sawa but chance Ndugai kufa kwa korona ni kubwa kuliko mm kijana shababHata wewe kesho yako hauijui!