share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,459
Ndugai amewahi kuchezea Simba B usisahau hilo!
Aaaaa kumbe! Vidole vilitimia mguuni?!?!?
Ndugai amewahi kuchezea Simba B usisahau hilo!
Pole Pole anasemaje?Wabunge wa ccm bana wanachekesha ile mbaya, baada ya kuona jinsi watu walivyofurahia hiyo timu kufungwa wanatafuta pa kutokea. Ukweli ni kuwa sisi hatuna uwezo wa soka na gundu lilizidi ccm walivyoanza kuweka kimbelembele kwenye hiyo timu. Ni kweli Amunike sio kocha, je ilikuwaje huo upuuzi wanaoongea sasa hawakuongea wakati timu ilipofuzu kwenda Afcon? Sisi tunajua timu iliyofungwa sio ya taifa bali ni ya ccm.
Hahahaa.......nilidhani ya jana!Pole Pole anasemaje?View attachment 1137783
CCM inaingiaje TFF?!Ccm ni useless kwa kila secta ata mm sioni cha kushangaa mbele ya kamati yenye makonda ndani yake!
Makonda anaingiaje kwenye kamati ya michezo au nae yupo TFF?CCM inaingiaje TFF?!
Ameingia kama Paul Makonda siyo kama mkuu wa mkoa maana Taifa stars ni tofauti na Mzizima United!Makonda anaingiaje kwenye kamati ya michezo au nae yupo TFF?
Hawa wabunge hawakwenda kushangilia bali kutalii!Aah aaah pamoja na ubove wa amonike... Ila kutoa hukumu kisa game ya senegal ni makosa kwa kweli....
Senegal si level yetu... Na kilichotokea hakuna ambayw hakukitegemea.
Sawa subiri AFCON ikiisha atakuja kuisifia serikali ya awamu ya 5 kwa taifa star kuchukua kombe la afcon..na wewe jiandae kwenda uwanja wa ndege kupokea kombe!Ameingia kama Paul Makonda siyo kama mkuu wa mkoa maana Taifa stars ni tofauti na Mzizima United!
Wangesubiri mashindano yaishe ndipo watoe ushauri huo, katikati ya mashindano unaweza kuathiri morali wa kocha na wachezaji.
Tatizo siyo kocha ni wachezaji. Ukubali ukatae mpira bado Tanzania. Watafukuza sana makocha lakini mpira bado. Huyu wanayemfukuza ndiyo huyo aliyeisadia timu mpaka imeingia AFCON. Tatizo la Tanzania kila kitu wameingia siasa na kwasasa kuna makundi mawili ya CCM na upinzani. Sasa hivi taifa stars imekuwa CCM STARS.Nina imani Taifa stars sasa watapumua na Kenya tutamfunga!