Spika na Bunge lake; ni maadili au hasira ya kutotaka kulipa kodi? Mwigulu aliyeshauri tuhamie Burundi je?

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,006
2,166
Haingii akilini kwamba bunge linatumia muda mwingi kujadili sehemu ya kazi za mbunge. Eti Gwajima Mbunge, anajadiliwa kwa kuhoji maamuzi ya serikali

Eti Silaa Mbunge, anajadiliwa kwa kusema anachohisi ni ukwepaji kodi kwa wabunge! Sasa kinachoendelea ni muendelezo wa kuhojiwa na kamati baada ya kamati. Hatusikii Bunge likifanya kazi yake ya kumhoji waziri Mwigulu kwa kuwataka wa-TZ wahamie Burundi!

Ninachohisi, kuna hasira ya kuona mambo yao ya ukwepaji kodi yako wazi kwa wananchi. Wabunge wanakwepa kulipa kodi halali ya vipato vyao kwa kisingizio cha posho. Mbunge anapewa pesa za kuajili dereva na watu wengine ambao hatawalipia kodi, zinaitwa posho.

Eti posho ni kubwa mara 3 kuliko mshahara wake. Ni mtindo wa kizamani, lipeni kodi halali. Hatuhitaji kuona watu wanaofanyakazi kwa kulipwa posho.
 
Wanasiasa walevi wa madaraka Kama hao,
Dawa yao Ni Uyu Mwamba
images-364.jpg
 
Kwani kazi ya mshahara wa mbunge ni nini kama kila siku analipwa posho? mbona hizi posho hazijawekwa kwa watumishi au wao mmewafanya kuwa manamba.....ndo maana mnawaita watumwa.
Ni aina Fulani ya wizi, legalized!
 
Haingii akilini kwamba bunge linatumia muda mwingi kujadili sehemu ya kazi za mbunge. Eti Gwajima Mbunge, anajadiliwa kwa kuhoji maamuzi ya serikali

Eti Silaa Mbunge, anajadiliwa kwa kusema anachohisi ni ukwepaji kodi kwa wabunge! Sasa kinachoendelea ni muendelezo wa kuhojiwa na kamati baada ya kamati. Hatusikii Bunge likifanya kazi yake ya kumhoji waziri Mwigulu kwa kuwataka wa-TZ wahamie Burundi!

Ninachohisi, kuna hasira ya kuona mambo yao ya ukwepaji kodi yako wazi kwa wananchi. Wabunge wanakwepa kulipa kodi halali ya vipato vyao kwa kisingizio cha posho. Mbunge anapewa pesa za kuajili dereva na watu wengine ambao hatawalipia kodi, zinaitwa posho.

Eti posho ni kubwa mara 3 kuliko mshahara wake. Ni mtindo wa kizamani, lipeni kodi halali. Hatuhitaji kuona watu wanaofanyakazi kwa kulipwa posho.
Mkuu Mchunguzi

Mathematical & Scientific problem solving
Differentiation FormulasIntegration Formulas
d/dx (a) = 0 where a is constant∫ 1 dx = x+C
d/dx (x) = 1∫ a dx = ax + C
d/dx(xn) = nxn-1∫ xn dx = (xn+1/n+1) + C
d/dx sin x = cos x∫ sin x dx = -cos x + C
d/dx cos x = -sin x∫ cos x dx = sin x + C
d/dx tan x = sec2 x∫ sec2 x dx = tan x + C
d/dx ln x = 1/x∫ (1/x) dx = ln x + C
d/dx ex = ex∫ ex dx = ex + C

Properties of Differentiation and Integration​

Let us now compare differentiation and integration based on their properties:

  1. Differentiation and integration both satisfy the property of linearity, i.e.,k1 and k2 are constants in the above equations.
ddx[k1f1(x)+k2f2(x)]=k1ddxf1(x)+k2ddxf2(x)

∫[k1f1(x)+k2f2(x)]dx=k1∫f1(x)dx+k2∫f2(x)dx
  1. Differentiation and Integration, both operations involve limits for their determination.
  2. Both differentiation and integration, as discussed are inverse processes of each other.
  3. The derivative of any function is unique but on the other hand, the integral of every function is not unique. Two integrals of the same function may differ by a constant.
  4. Upon differentiating a polynomial function the degree of the result is 1 less than the degree of the polynomial function whereas in the case of integration the result obtained has a degree that is 1 greater than the degree of the polynomial function.
  5. While dealing with derivatives we can consider derivatives at a point whereas, in the integrals, the integral of a function over an interval is considered.
  6. Geometrically, the derivative of a function describes the rate of change of a quantity with respect to another quantity while indefinite integral represents the family of curves positioned parallel to each other having parallel tangents at the intersection point of every curve of the family with the lines orthogonal to the axis representing the variable of integration
Solve the puzzles below

Differentiate the following expressions (with respect to x):
  1. (8x+7)ex
  2. ln(6x2+2x+5)
  3. sin(−5x2−8x+2)
  4. (−7x2−5x)cosx
  5. ex2−8x+7
  6. (4x2−3x−7)lnx

Integrate the following expressions (with respect to x):
  1. (x+9)3
  2. sinxln(cosx)
  3. 2x1+x2−−−−−√
  4. ecosxsinx
  5. x2sinx
  6. excosx
 
Haingii akilini kwamba bunge linatumia muda mwingi kujadili sehemu ya kazi za mbunge. Eti Gwajima Mbunge, anajadiliwa kwa kuhoji maamuzi ya serikali

Eti Silaa Mbunge, anajadiliwa kwa kusema anachohisi ni ukwepaji kodi kwa wabunge! Sasa kinachoendelea ni muendelezo wa kuhojiwa na kamati baada ya kamati. Hatusikii Bunge likifanya kazi yake ya kumhoji waziri Mwigulu kwa kuwataka wa-TZ wahamie Burundi!

Ninachohisi, kuna hasira ya kuona mambo yao ya ukwepaji kodi yako wazi kwa wananchi. Wabunge wanakwepa kulipa kodi halali ya vipato vyao kwa kisingizio cha posho. Mbunge anapewa pesa za kuajili dereva na watu wengine ambao hatawalipia kodi, zinaitwa posho.

Eti posho ni kubwa mara 3 kuliko mshahara wake. Ni mtindo wa kizamani, lipeni kodi halali. Hatuhitaji kuona watu wanaofanyakazi kwa kulipwa posho.
CCM kwa posho utawaua,mbinu ya kulipana posho ni unyang'anyi wa fedha za Wananchi.Wanataka kutuaminisha kwamba kazi ya Ubunge ni ngumu kulikoni kazi zingine kama Ualimu,Uuguzi,Udaktari,Engineering, Jeshi na Ulinzi au?Mbona hivyo miposho hamtoi kwa wengine?
 
Back
Top Bottom