Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Hongera mkuu kwa kuwa na adabu kwa Wazee.Umeongea kwa staha sana.Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu kwa kuwa na adabu kwa Wazee.Umeongea kwa staha sana.Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Umeongea kwa adabu sana.Hongera ya nidhamu na adabu kwa Wazee.Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Yeye in Mzee mkuu.Mzee msekwa nae haeleweki, wiki jana si alinukuliwa akimtetea ndugai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua Katiba ya Chadema?Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Kwani Sophia Simba alivunja katiba gani?Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Basi unaumia sanaIla Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Cc: barafuyamotoPius msekwa ameyasema hayo alipo hojiwa na EATV .
Anasema kwa katiba yao wamefanya jambo la maana kabisa na hakuna chama kinacho weza endekeza wanachama wasio fuata taratibu za chama chao.
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pius Msekwa, amesema kuwa CHADEMA wako sahihi kuwafukuza wanachama wake ambao wameenda kinyume na taratibu zao kwa mujibu wa katiba ya chama hicho.
Mzee Msekwa ameyabainisha hayo alipofanya mazungumza maalum na EATV&EA Radio Digital.
"Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kiko sahihi kuwafukuza wabunge wake kutoka kwenye chama hicho, hivyo mamlaka hayo wanayo kwa mujibu wa katiba ya chama" amesema Mzee Msekwa.
Hivi karibuni CHADEMA kupitia kwa Katibu wa chama hicho John Mnyika, kiliwafukuza uanachama wabunge wake wanne, akiwemo David Silinde, Anthony Komu, Wilfred Lwakatare na Joseph Selasini, baada ya kukiuka maagizo na maelekezo ya chama.
Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Ndio hilo ni kosa la jinai. Ndio maana polisi wanachunguza.Kwa hiyo hao waliompa sumu mzee mangula wamevunja sheria?
Kachero mkali hapa bongo ni Lyatonga Mrema tu. Alikuwa analala maporini anatambaa kama komandoo kukamata majambazi na wauza magendo.Tumfuate jasusi tukamuulize amefikia wapi kwenye udonoaji?
Hata Mimi nawapongeza kwa kujibomoa kwaoPius msekwa ameyasema hayo alipo hojiwa na EATV .
Anasema kwa katiba yao wamefanya jambo la maana kabisa na hakuna chama kinacho weza endekeza wanachama wasio fuata taratibu za chama chao.
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pius Msekwa, amesema kuwa CHADEMA wako sahihi kuwafukuza wanachama wake ambao wameenda kinyume na taratibu zao kwa mujibu wa katiba ya chama hicho.
Mzee Msekwa ameyabainisha hayo alipofanya mazungumza maalum na EATV&EA Radio Digital.
"Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kiko sahihi kuwafukuza wabunge wake kutoka kwenye chama hicho, hivyo mamlaka hayo wanayo kwa mujibu wa katiba ya chama" amesema Mzee Msekwa.
Hivi karibuni CHADEMA kupitia kwa Katibu wa chama hicho John Mnyika, kiliwafukuza uanachama wabunge wake wanne, akiwemo David Silinde, Anthony Komu, Wilfred Lwakatare na Joseph Selasini, baada ya kukiuka maagizo na maelekezo ya chama.
Huyo Bia yetu ni dada yake Kawe Alumni,Hahaha hivi wewe ndiye yule Kawe Alumni au dada yake?! Unafurahisha sana.
Ila Mzee msekwa kumbuka hawa kina Silinde hawajavunja sheria wanaonewa na Mbowe
Hongera kwa chadema ila spiker ana discretionary power bungeni pia.
Wabunge wa CHADEMA hao wanne walishasema wakipokea kiinua mgongo wao siyo CHADEMA tena sasa ilipaswa wasikilizwe ili iweje?Kwanza membe alipewa nafasi ya kujitetea, alijiteaje hadi akafukuzwa mimi sijui
Vipi Kwanini Mbowe hakuwapa Wabunge wa Chadema waliofukuzwa nafasi ya kusikilizwa?