Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Tumezisikia deals za rada, helikopta na magari ya jeshi ikiwa ni ufisadi mtupu. Inawezekana kwenye procurement za hizi silaha nako kulikuwa na ufisadi, watu wakanunua mabomu yakiwa mabomu (Nikimaanisha expired bombs). Kama waliweza kununua vifaa bomu vinavyotumika kila siku kwa shughuli za jeshi, iweje washindwe kununua vitu bomu vinavyotumika wakati wa dharura.
These leaders need to come clean here.
These leaders need to come clean here.