HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
AMEN.Watu mnapenda kuhisi, sasa huyu mama corona kaipatia wapi?
May her soul rest in peace.
Sasa hivi kwa hali ilivyo, Mtu akipoteza maisha kwa maradhi yoyote yale, au iwe kifo cha ghafla.
Utakachosikia ni gonjwa hili la mlipuko.
Tumo kwenye wakati mgumu sana