Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda ameizuia Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), kuchunguza sakata la kusimamishwa kwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi William Mhando.Mhando na watendaji wengine watatu walisimamishwa kazi na Bodi ya Wakurugenzi ya shirika hilo Julai 14, mwaka huu wakituhumiwa kwa ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka.
read more Spika Makinda azuia Bunge kuingilia sakata la Mhando
Huyu mama atazuia kila jambo mwaka huu
read more Spika Makinda azuia Bunge kuingilia sakata la Mhando
Huyu mama atazuia kila jambo mwaka huu