Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mama Anna Makinda sawa alikuwa na U- CCM lakini bado alikuwa na ubinadamu na upendo nje ya siasa.
Ndugai analifanya bunge kuwa sehemu ya ubaguzi na kujenga chuki kwa wawakilishi wa Wananchi.
Tukumbushane hili tukio ambapo kwenye tafrija hii mama Makinda alilisakata rumba na mkosoaji mkubwa wa CCM pale mjengoni.
In God we Trust
Ndugai analifanya bunge kuwa sehemu ya ubaguzi na kujenga chuki kwa wawakilishi wa Wananchi.
Tukumbushane hili tukio ambapo kwenye tafrija hii mama Makinda alilisakata rumba na mkosoaji mkubwa wa CCM pale mjengoni.
In God we Trust