Hata hao waliomchagua mie sielewi vigezo walivyotumia! (Samahani simaanishi kuwatusi bali ninawasilisha unaive wangu katika hili maana niliamka tu na kusikia amekuwa Mbunge - Nadhani ninahitaji kuwa mwanafunzi mzuri wa siasa ya Tanzania)
Duuh! Mhe. Ngonyani a.k.a maji marefu kaomba radhi kwa kauli yake ya jana bungeni dhidi ya Dr. Ulimboka. Jamaa kafunguka!
hivi hawa wanakorogwe wakati wanamchagua huyu mpiga manyanga walikuwa wamelewa au????