Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

Jana prof. Maji Marefu wakati akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu Aluzungumzia kipigo cha daktari ulimboka kama ifuatavyo namnukuu" KIPIGO ALICHOPATA MWENYEKITI WA JUMUIYA YA MADAKTARI TANZANIA, STEPHEN ULIMBOKA,KINASTAHILI ILI NAYE APATE APATE MACHUNGU WANAYOPATA WAGONJWA WENGINE HOSPITALINI" mwisho wa kunukuu. Kauli hii ilizusha tafrani bungeni mpaka Mh. Spika akaingilia kati.
Sasa wana JF mnaizungumziaje kauli hii ya mbunge huyu? mi naona kama amehusika ndo maana anataka kuhalalisha unyama huo.
 

Attachments

  • Profesa maji marefu.JPG
    Profesa maji marefu.JPG
    37.7 KB · Views: 76
...unategemea nini kutoka kwa Mganga wa Kienyeji?? :sleepy::sleepy::sleepy::wacko::wacko::wacko:
 
Hii iliongelewa tangu jana humu. Ungechukua muda kuangalia threads zilizopita kwanza ungeikuta na usingepoteza muda kurusha tena.
 
Huo ndio mwisho wake wa kufikiri, umsmlaumu bure!!!!!!!

Tiba
 
Mganga wa kienyeji kwa usahihi ni mchawi, siku zote mchawi hana huruma kwa binadamu kazi yake ni kunywa damu.shiiiit
 
hii ndiyo Ghalama ya Demokrasia , tunawapa uongozi vilaza. Huyo ndiyo Chaguo la watu wa korogwe! Huyo analipwa kuliko dr. Ulimboka. Kunahaja ya wabunge pia kulipwa kulingana na elimu yao. Upeo wa wabunge wengine ni mdogo kiasi cha kuchefua. Nawasihi wananchi wa Korogwe wasitutee bungeni wapiga bao.
 
Jana prof. Maji Marefu wakati akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu Aluzungumzia kipigo cha daktari ulimboka kama ifuatavyo namnukuu" KIPIGO ALICHOPATA MWENYEKITI WA JUMUIYA YA MADAKTARI TANZANIA, STEPHEN ULIMBOKA,KINASTAHILI ILI NAYE APATE APATE MACHUNGU WANAYOPATA WAGONJWA WENGINE HOSPITALINI" mwisho wa kunukuu. Kauli hii ilizusha tafrani bungeni mpaka Mh. Spika akaingilia kati.
Sasa wana JF mnaizungumziaje kauli hii ya mbunge huyu? mi naona kama amehusika ndo maana anataka kuhalalisha unyama huo.
Mimi sishangai kwa mganga wa kienyeji kutoa lugha ya namna hiyo, lakini hayo ni matokeo ya kushindwa kupata watu wanaoheshimu utawala wa sheria katika mhimili unaotunga sheria kama BUNGE letu. Nilitegemea CCM itapata watu makini wakuhubiri utawala wa sheria wakati wote lakini imeshindikana wamepatikana wachawi maarufu waliotunukiwa uprofesa kwa ajili hiyo. Ni dhahiri tunakoelekea watatokea washawishi watakaowaambia wananchi wa Tanzania kwamba tusisubiri miaka mitano kumnyima kura tuliyemchagua kwamba hajatekeleza alichokiahidi na hataki kuachia ngazi solution pekee ni KIPIGO hapo patakuwa patamu na ndipo kutenganisha siasa na utaalam itakapotokea. Huyu Ngonyani ameonesha uwezo wake wa kufikili.
 
Mwanga tu huyu, yy si ndio hupeleka tunguli pale bungeni ili awasidie wabunge kwenye mambo yao? yy mwenyewe alikuwa kalazwa Muhimbili na kaponea chupu chupu kufa, je kama tunguli zake zinaponywa kwa nini hakujiagua? Kenge maji marefu huyu.
 
Huyo ndio Profesa Majimarefu bana..! hapo kafikiria kwa masaburi, halafu ati atunge sheria za kuongoza waTanzania madokta wakiwamo...****
 
Kwa mtu mwenye busara na mwakilishi wa wananchi fulani wanaomwamini, sidhani kama katumia busara! Hata mchawi huwa anafika kwenye msiba. Upeo wa huyo aitwaye professaor ndo unapoishia hasa katika dhana ya utashi. Ndiyo maana neno professor si suala la kujipa tu (u-professor) bali liwe linahusiana na uelewa wa mambo pia, hata kama ni ya mazingaombwe! Katika kipindi ambacho wengi tunaumia kwa yaliyompata ulimboka na connections za kitetesi zilivyo! Nadhani ni vema kuungana kumlaani huyu mzee!!
 
Anafurahia madaktari wauawe ili apate wateja.
Madaktari mark this guy siku akija kutibiwa kwa ugonjwa wa malaria mdungeni sindano ya maji
 
Hivi alipokuwa akisema anawashukuru waliomuombe! nikashangaa, huyu mchawiii nae anaombewa ua wanafukiza madawa. Wachungaji na mapadri hebu nielezeni hapa.
 
Back
Top Bottom