Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
SPIKA KUPIGA SIMU KWA RAIS KUMUULIZA MAJINA YA WAJUMBE WA KUWAWEKA KWENYE KAMATI YA BUNGE KUNAASHIRIA NINI? -Haya si maneno yangu ni ya Rais mwenyewe. Zitoo aliyatumia kwenye utetezi wake kuhus hoja yake ya Bunge kuingiliwa na serikali na Ndugai hauusoma huo utetezi hadi leo.