Phazo Khan
Member
- Aug 26, 2019
- 70
- 80
Mh Spika wa bunge la 12 Job Ndugai, mmegoma kutoa ajira kwa vijana, mmeacha kutunga sera/shera nzuri ambazo zinaweza kuvutia uwezekaji mkubwa na kuleta ajira kwa vijana, mmeacha kupitsha sheria ambazo zitamruhusu kijana kupata mkopo ambao unaweza kumkwamua,
Mwisho wa siku unakuja kutuchongea kwa wadosi kuwa vijana hawana uaminifu, vijana wasipoiba wanajiona wajinga na mazonge mengi mengi tu.
Mh Spika sisi vijana sio wezi na uaminifu tunao, ukitaka usiibiwe basi mlipe kijana ako vizuri tu na mjengee mazingira mazuri ya uaminifu.
Kwakumalizia Mh Spika kauli kama hizo tena kwa kiongozi mkubwa wa mhimili wa nchi, naona sio nzuri sana vinaharibu na kuchafua taswira ya vijana.
Mwisho wa siku unakuja kutuchongea kwa wadosi kuwa vijana hawana uaminifu, vijana wasipoiba wanajiona wajinga na mazonge mengi mengi tu.
Mh Spika sisi vijana sio wezi na uaminifu tunao, ukitaka usiibiwe basi mlipe kijana ako vizuri tu na mjengee mazingira mazuri ya uaminifu.
Kwakumalizia Mh Spika kauli kama hizo tena kwa kiongozi mkubwa wa mhimili wa nchi, naona sio nzuri sana vinaharibu na kuchafua taswira ya vijana.