Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 808
- 965
Kwanza audit queries huwa zinawasilishwaga kwa mara ya kwanza ktk exit meeting hapo mnajibuuu wakaguzi wakiridhika na majibu yenu wanaziondoa queries walizoridhika na majibu yake. Zile ambazo hawajaridhika nazo labda kwasababu ya kukosa ushahidi wanaenda kuziandika rasmi na kuwaletea tena ktk maandishi ili mjibu rasmi na kuweka vithibitisho. Hapa wakaguzi hutoa muda wa kutosha kwa Taasisi husika kujibu hoja.
Baada ya Taasisi kujibu hoja za wakaguzi na kutoa vielelezo au vithibitisho, hoja zote zilizotolewa majibu na vielelezo vya kutosha hufutwa. Lakini, hoja ambazo hamjatoa majibu ya maana au vithibitisho zinasonga mbele, yaani maana yake mmeshindwa kuzijibu, hivyo zinasonga mbele, ndo hizo zinazoenda ktk ripoti ya CAG. Kwahiyo kuziita queries kirahisi rahisi tu sio sawa, ingawa ni kweli zipo zinazoweza kwenda kupata majibu zikiwa ktk ngazi ya Bunge, lakini asi simplify hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Taasisi kujibu hoja za wakaguzi na kutoa vielelezo au vithibitisho, hoja zote zilizotolewa majibu na vielelezo vya kutosha hufutwa. Lakini, hoja ambazo hamjatoa majibu ya maana au vithibitisho zinasonga mbele, yaani maana yake mmeshindwa kuzijibu, hivyo zinasonga mbele, ndo hizo zinazoenda ktk ripoti ya CAG. Kwahiyo kuziita queries kirahisi rahisi tu sio sawa, ingawa ni kweli zipo zinazoweza kwenda kupata majibu zikiwa ktk ngazi ya Bunge, lakini asi simplify hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app