Maswali ya kipuuzi lazima yapuuzweSi wangejibu hivyo basi kama ni hivyo kwa nini wazue jibu
Maswali ya kipuuzi lazima yapuuzweSi wangejibu hivyo basi kama ni hivyo kwa nini wazue jibu
Huko ni kukosa majbu tu hakuna swali la kipuuzi weka vigezo vya kuljua hilo swali la kpuuzi mkuuMaswali ya kipuuzi lazima yapuuzwe
Huyo akijibu mkuu ni mnafiki mmoja wapoSi wangejibu hivyo basi kama ni hivyo kwa nini wazue jibu
Hatuna spika!
Kwa hiyo ndio mnalazimisha BAKWATA waratibu pekee?Maswali chonganishi kwa lengo la kuleta Fitna Na farka katika jamii
Ibada husika Ni ya Hijja hata ikiratibiwa Na Vatican lakin ikatimiza Masharti yake hiyo ina swihi Haina Tatizo
Bakwata kuratibu hiyo Safari haibatilishi hiyo Ibada hata Kama hatuipendi Bakwata
Hili ni swali la kisera, siku zote wabunge wanasisitiziwa kuuliza mwasali ya kisera tu vinginevyo kiti kinazuia swali kujibu. Hapa ni wazi Kubenea ameuliza swali ambalo Job naona hakulipenda kwani serikali imechukua upande na akamtolea nje Kubenea. Niwazi supika ametumia kiti chake kibabe kwenye hili. Poor job by Job.Katika swali lake, Kubenea alimuuliza Majaliwa kwamba sera ya Serikali ni kila mtu kuabudu dini anayotaka na kutokuingilia dini ya mtu mwingine, lakini Serikali imetoa kibali kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), kuratibu Hija ikiziacha taasisi nyingine.
Je, nini msimamo wa Serikali kwa sasa katika jambo hilo ambalo limeleta sintofahamu.
Issue ni kwa nini asilijibu ikiwa ni swali halali?Kwahiyo angelijibu lingemaliza matatizo yako?
Unamlazimisha alijibu wewe ndiye unaongoza bunge au spika aliyekataa,mwambie akujibu tu wewe labda kuna majibu uliyatarajia ambayo yangekukomboa,fanya yako ile ni siasa mazee!!Issue ni kwa nini asilijibu ikiwa ni swali halali?
swali la kubenea umelielewa au unajibu tuu kwasababu mahaba yako yapo Bakwata!??Maswali chonganishi kwa lengo la kuleta Fitna Na farka katika jamii
Ibada husika Ni ya Hijja hata ikiratibiwa Na Vatican lakin ikatimiza Masharti yake hiyo ina swihi Haina Tatizo
Bakwata kuratibu hiyo Safari haibatilishi hiyo Ibada hata Kama hatuipendi Bakwata
Wala sijalazimisha ajibu. Ameuliza swali halali-au kuna kanuni inayokataza maswali yenye uhusiano na dini? Hakuna kanuni kama hiyo nijuavyo, na swali ni la kisera kama inavyotakiwa. Ana haki ya kujibiwa, tunauliza imekuwaje.Unamlazimisha alijibu wewe ndiye unaongoza bunge au spika aliyekataa,mwambie akujibu tu wewe labda kuna majibu uliyatarajia ambayo yangekukomboa,fanya yako ile ni siasa mazee!!
Juzi alisifiwa kuhusu maji, nikasema huyu HAAMINIKI, leo jibu mmelipata!Hatuna spika!
swali la kubenea umelielewa au unajibu tuu kwasababu mahaba yako yapo Bakwata!??
Nipo rafiki naona nawe sikuoni!Mkuu upo? Tabia ya mtu hujenga mazoea.!
Undeni bunge lenu mchague spika wenu mtakaye kuwa munamuongoza kwa remote control mkiwa nje ili afanye mnavyotaka nyie,nyie vipi mnataka kila kiongozi afanye mnavyotaka nyie????Juzi alisifiwa kuhusu maji, nikasema huyu HAAMINIKI, leo jibu mmelipata!
Umeandika kiushabikMaswali chonganishi kwa lengo la kuleta Fitna Na farka katika jamii
Ibada husika Ni ya Hijja hata ikiratibiwa Na Vatican lakin ikatimiza Masharti yake hiyo ina swihi Haina Tatizo
Bakwata kuratibu hiyo Safari haibatilishi hiyo Ibada hata Kama hatuipendi Bakwata