Spika Job Ndugai alishindwa Kumlinda Sophia Simba na wenzie 12 walipofukuzwa na CCM, ubavu wa Kumlinda Halima Mdee na Wenzie 18 atautoa wapi?

Salaam Wakuu.

Kama mnakumbuka mwezi March 2017 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kiliwafukuza wanachama wake 12, akiwamo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba.

Sophia alilazimika kupoteza ubunge kutokana na uamuzi huo, alifukuzwa baada ya kupatikana na makosa ya maadili kinyume na Katiba na kanuni za chama cha Mapinduzi (CCM).

Sophia Simba alikuwa katumikia Ubunge kwa takribani miaka 22, pia alipoteza nafasi yake ya uenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania(CCM) aliyokuwa ameitumikia kwa muda wa miaka 10.

Alipokuwa akitoa taarifa ya Mkutano wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC) kwa waandishi wa habari, Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepele, pasipo kufafanua, alisema Sophia alipatikana na hatia ya makosa ya kiuadilifu ya chama cha CCM.

“Wajumbe wa NEC kwa sauti moja wameridhia kumfukuza uanachama Sophia Simba,” alisema Polepole.

Mbali na Sophia, pia alisema wenyeviti wa CCM wa mikoa minne nao wamefukuzwa kwa makosa kama hayo.

Aliwataja wenyeviti hao na mikoa yao katika mabano kuwa ni Jesca Msambatavangu (Iringa) Sasa hivi ni Mbunge wa Iringa(CCM), Erasto Kwilasa (Shinyanga), Ramadhan Madabiba (Dar es Salaam) na Christopher Sanya (Mara). Polepole aliwataja wanachama wengine waliofukuzwa kuwa ni Willfred ole Mollel ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini, mjumbe wa NEC wa Wilaya ya Babati Mjini, Ally Sumaye na Mathias Manga wa Wilaya ya Arumeru.

Katika orodha hiyo, pia walikuwemo wenyeviti wa wilaya wa chama hicho ambao ni Omari Awadhi (Gairo), Ally Msuya (Babati Mjini), Makolo Laizer (Longido) na Salumu Madenge (Kinondoni-Dar es Salaam).

Ingawa Polepole hakufafanua sababu za kumfukuza uanachama Sophia, kumpa onyo kali Nchimbi na kumsamehe Kimbisa, wanachama hao ndio waliojitokeza hadharani kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM iliyoketi kupitisha majina ya wagombea urais kupitia chama hicho mwaka 2015.

Itakumbukwa, Nchimbi, Kimbisa na Sophia walipinga kitendo cha kamati ya maadili chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete cha kukata majina ya wagombea urais likiwamo la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na kupeleka majina matano tu yajadiliwe ndani ya kamati hiyo. Wanasiasa hao walidai kuwa kanuni za chama hicho zilikuwa zimepindishwa.

Hayo yote yakifanyika, Mheshimiwa Jon Ndugai hakunyanyua ulimi wake kusima amlinde au hata kumteteta Sophia Simba ambaye alikuwa Kamuapisha kuwa Mbunge. Tena ndani ya Bunge. Sikuona Anawakingia Kifua.

Hata Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) lilipofukuza Wabunge 8 wa viti Maalum, ambao walikuwa Wameapishwa, Sikusikia wala kuona anawakingia Kifua badala yake aligongelea Msumari. July 26, 2017 taarifa kutoka ofisi ya Bunge ilieleza kuwa Spika Job Ndugai ameridhia kufutwa uanachama kwa Wabunge hao na hivyo nafasi zao ziko wazi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Spika Ndugai amejiridhisha kuwa Wabunge hao wamefutiwa uanachama kulingana na taratibu za chama hicho na hivyo hawana sifa za kuendelea na Ubunge. Hivyo kwa mamlaka aliyonayo kwa kuzingatia kifungu cha 67(1)(b) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 kikisomwa pamoja na kifungu 37(3) cha Sheria ya Uchaguzi Sura ya 343 kama ilivyojadidiwa Mwaka 2015, Spika alitangaza nafasi hizo kuwa wazi na kumuandikia Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi aendelee na hatua zinazostahili kujaza nafasi hizo kwa mujibu wa Sheria.

Waliovuliwa ubunge ni Uongozi wa CUF walikuwa ni Mheshimiwa Severina Silvanus Mwijage, Mheshimiwa Saumu Heri Sakala, Mheshimiwa Salma Mohemed Mwassa, Mheshimiwa Riziki Shahari Mngwali, Mheshimiwa Raisa Abdallah Mussa, Mheshimiwa Miza Bakari Haji, Mheshimiwa Hadija Salum Ally al Kassmy na Mheshimiwa Halima Ali Mohamed.

SWALI:

Iweje leo Uongozi wa CHADEMA imefukuza Wanachama wake Spika ambaye ni Wanachama wa CCM anadai atawakingia kifua wakati alishindwa Wakingia Kifua CCM wenzie? Ujasili anautoa wapi?
The Boss aliyewafukuza kina Sophia Simba ndio boss atakaye walinda kina Halima Mdee
 
Hiki kizee ni cha hovyo kabisa, sijui kinadhani sisi wananchi ni wapumbavu kama chenyewe? Haa! Ajabu na kweli.
 
Salaam Wakuu.

Kama mnakumbuka mwezi March 2017 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kiliwafukuza wanachama wake 12, akiwamo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba.

Sophia alilazimika kupoteza ubunge kutokana na uamuzi huo, alifukuzwa baada ya kupatikana na makosa ya maadili kinyume na Katiba na kanuni za chama cha Mapinduzi (CCM).

Sophia Simba alikuwa katumikia Ubunge kwa takribani miaka 22, pia alipoteza nafasi yake ya uenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania(CCM) aliyokuwa ameitumikia kwa muda wa miaka 10.

Alipokuwa akitoa taarifa ya Mkutano wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC) kwa waandishi wa habari, Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepele, pasipo kufafanua, alisema Sophia alipatikana na hatia ya makosa ya kiuadilifu ya chama cha CCM.

“Wajumbe wa NEC kwa sauti moja wameridhia kumfukuza uanachama Sophia Simba,” alisema Polepole.

Mbali na Sophia, pia alisema wenyeviti wa CCM wa mikoa minne nao wamefukuzwa kwa makosa kama hayo.

Aliwataja wenyeviti hao na mikoa yao katika mabano kuwa ni Jesca Msambatavangu (Iringa) Sasa hivi ni Mbunge wa Iringa(CCM), Erasto Kwilasa (Shinyanga), Ramadhan Madabiba (Dar es Salaam) na Christopher Sanya (Mara). Polepole aliwataja wanachama wengine waliofukuzwa kuwa ni Willfred ole Mollel ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini, mjumbe wa NEC wa Wilaya ya Babati Mjini, Ally Sumaye na Mathias Manga wa Wilaya ya Arumeru.

Katika orodha hiyo, pia walikuwemo wenyeviti wa wilaya wa chama hicho ambao ni Omari Awadhi (Gairo), Ally Msuya (Babati Mjini), Makolo Laizer (Longido) na Salumu Madenge (Kinondoni-Dar es Salaam).

Ingawa Polepole hakufafanua sababu za kumfukuza uanachama Sophia, kumpa onyo kali Nchimbi na kumsamehe Kimbisa, wanachama hao ndio waliojitokeza hadharani kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM iliyoketi kupitisha majina ya wagombea urais kupitia chama hicho mwaka 2015.

Itakumbukwa, Nchimbi, Kimbisa na Sophia walipinga kitendo cha kamati ya maadili chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete cha kukata majina ya wagombea urais likiwamo la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na kupeleka majina matano tu yajadiliwe ndani ya kamati hiyo. Wanasiasa hao walidai kuwa kanuni za chama hicho zilikuwa zimepindishwa.

Hayo yote yakifanyika, Mheshimiwa Jon Ndugai hakunyanyua ulimi wake kusima amlinde au hata kumteteta Sophia Simba ambaye alikuwa Kamuapisha kuwa Mbunge. Tena ndani ya Bunge. Sikuona Anawakingia Kifua.

Hata Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) lilipofukuza Wabunge 8 wa viti Maalum, ambao walikuwa Wameapishwa, Sikusikia wala kuona anawakingia Kifua badala yake aligongelea Msumari. July 26, 2017 taarifa kutoka ofisi ya Bunge ilieleza kuwa Spika Job Ndugai ameridhia kufutwa uanachama kwa Wabunge hao na hivyo nafasi zao ziko wazi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Spika Ndugai amejiridhisha kuwa Wabunge hao wamefutiwa uanachama kulingana na taratibu za chama hicho na hivyo hawana sifa za kuendelea na Ubunge. Hivyo kwa mamlaka aliyonayo kwa kuzingatia kifungu cha 67(1)(b) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 kikisomwa pamoja na kifungu 37(3) cha Sheria ya Uchaguzi Sura ya 343 kama ilivyojadidiwa Mwaka 2015, Spika alitangaza nafasi hizo kuwa wazi na kumuandikia Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi aendelee na hatua zinazostahili kujaza nafasi hizo kwa mujibu wa Sheria.

Waliovuliwa ubunge ni Uongozi wa CUF walikuwa ni Mheshimiwa Severina Silvanus Mwijage, Mheshimiwa Saumu Heri Sakala, Mheshimiwa Salma Mohemed Mwassa, Mheshimiwa Riziki Shahari Mngwali, Mheshimiwa Raisa Abdallah Mussa, Mheshimiwa Miza Bakari Haji, Mheshimiwa Hadija Salum Ally al Kassmy na Mheshimiwa Halima Ali Mohamed.

SWALI:

Iweje leo Uongozi wa CHADEMA imefukuza Wanachama wake Spika ambaye ni Wanachama wa CCM anadai atawakingia kifua wakati alishindwa Wakingia Kifua CCM wenzie? Ujasili anautoa wapi?

Hapo alipo tunamchora tu, kwasasa hivi cdm wamemaliza mechi, yeye akae nao ili kila mtu ajiridhishe kuwa serikali hii haiheshimu katiba. Awape mpaka nyumba za kuishi humo ndani ya bunge, lakini hatua stahiki dhidi ya hao wabunge zimeshachukuliwa.
 
Salaam Wakuu.

Kama mnakumbuka mwezi March 2017 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kiliwafukuza wanachama wake 12, akiwamo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba.

Sophia alilazimika kupoteza ubunge kutokana na uamuzi huo, alifukuzwa baada ya kupatikana na makosa ya maadili kinyume na Katiba na kanuni za chama cha Mapinduzi (CCM).

Sophia Simba alikuwa katumikia Ubunge kwa takribani miaka 22, pia alipoteza nafasi yake ya uenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania(CCM) aliyokuwa ameitumikia kwa muda wa miaka 10.

Alipokuwa akitoa taarifa ya Mkutano wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa (NEC) kwa waandishi wa habari, Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepele, pasipo kufafanua, alisema Sophia alipatikana na hatia ya makosa ya kiuadilifu ya chama cha CCM.

“Wajumbe wa NEC kwa sauti moja wameridhia kumfukuza uanachama Sophia Simba,” alisema Polepole.

Mbali na Sophia, pia alisema wenyeviti wa CCM wa mikoa minne nao wamefukuzwa kwa makosa kama hayo.

Aliwataja wenyeviti hao na mikoa yao katika mabano kuwa ni Jesca Msambatavangu (Iringa) Sasa hivi ni Mbunge wa Iringa(CCM), Erasto Kwilasa (Shinyanga), Ramadhan Madabiba (Dar es Salaam) na Christopher Sanya (Mara). Polepole aliwataja wanachama wengine waliofukuzwa kuwa ni Willfred ole Mollel ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini, mjumbe wa NEC wa Wilaya ya Babati Mjini, Ally Sumaye na Mathias Manga wa Wilaya ya Arumeru.

Katika orodha hiyo, pia walikuwemo wenyeviti wa wilaya wa chama hicho ambao ni Omari Awadhi (Gairo), Ally Msuya (Babati Mjini), Makolo Laizer (Longido) na Salumu Madenge (Kinondoni-Dar es Salaam).

Ingawa Polepole hakufafanua sababu za kumfukuza uanachama Sophia, kumpa onyo kali Nchimbi na kumsamehe Kimbisa, wanachama hao ndio waliojitokeza hadharani kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM iliyoketi kupitisha majina ya wagombea urais kupitia chama hicho mwaka 2015.

Itakumbukwa, Nchimbi, Kimbisa na Sophia walipinga kitendo cha kamati ya maadili chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete cha kukata majina ya wagombea urais likiwamo la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na kupeleka majina matano tu yajadiliwe ndani ya kamati hiyo. Wanasiasa hao walidai kuwa kanuni za chama hicho zilikuwa zimepindishwa.

Hayo yote yakifanyika, Mheshimiwa Jon Ndugai hakunyanyua ulimi wake kusima amlinde au hata kumteteta Sophia Simba ambaye alikuwa Kamuapisha kuwa Mbunge. Tena ndani ya Bunge. Sikuona Anawakingia Kifua.

Hata Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) lilipofukuza Wabunge 8 wa viti Maalum, ambao walikuwa Wameapishwa, Sikusikia wala kuona anawakingia Kifua badala yake aligongelea Msumari. July 26, 2017 taarifa kutoka ofisi ya Bunge ilieleza kuwa Spika Job Ndugai ameridhia kufutwa uanachama kwa Wabunge hao na hivyo nafasi zao ziko wazi.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Spika Ndugai amejiridhisha kuwa Wabunge hao wamefutiwa uanachama kulingana na taratibu za chama hicho na hivyo hawana sifa za kuendelea na Ubunge. Hivyo kwa mamlaka aliyonayo kwa kuzingatia kifungu cha 67(1)(b) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 kikisomwa pamoja na kifungu 37(3) cha Sheria ya Uchaguzi Sura ya 343 kama ilivyojadidiwa Mwaka 2015, Spika alitangaza nafasi hizo kuwa wazi na kumuandikia Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi aendelee na hatua zinazostahili kujaza nafasi hizo kwa mujibu wa Sheria.

Waliovuliwa ubunge ni Uongozi wa CUF walikuwa ni Mheshimiwa Severina Silvanus Mwijage, Mheshimiwa Saumu Heri Sakala, Mheshimiwa Salma Mohemed Mwassa, Mheshimiwa Riziki Shahari Mngwali, Mheshimiwa Raisa Abdallah Mussa, Mheshimiwa Miza Bakari Haji, Mheshimiwa Hadija Salum Ally al Kassmy na Mheshimiwa Halima Ali Mohamed.

SWALI:

Iweje leo Uongozi wa CHADEMA imefukuza Wanachama wake Spika ambaye ni Wanachama wa CCM anadai atawakingia kifua wakati alishindwa Wakingia Kifua CCM wenzie? Ujasili anautoa wapi?
JIBU LAHISI: MAAGIZO KUTOKA JUU. SERIKALI YETU INA MIHILIMILI MITATU MIWILI KATI YAKE NI KIBOGOYO TOKA 2015
 
CCM haifanyi mambo kienyeji
Hao kina Halima waliitwa wapi kujieleza?katiba ya chadema inataka mtuhumiwa apelekewe mashitaka siku 7 kabla ya kikao,ili apate muda wa utetezi,hilo lilifanyika?

Hatuhitaji ww kutuambia, tunaona kwa macho yetu. Kwahiyo usipoteze muda wako bure. Hao sio wabunge wa cdm bali wa spika. Awanunulie hata helicopter ya kuwazungusha hapa nchini, lakini maamuzi tayari yameshachukuliwa.
 
Hatuhitaji ww kutuambia, tunaona kwa macho yetu. Kwahiyo usipoteze muda wako bure. Hao sio wabunge wa cdm bali wa spika. Awanunulie hata helicopter ya kuwazungusha hapa nchini, lakini maamuzi tayari yameshachukuliwa.
Au kama wanataka wamteke mbowe wakamvalishe khanga akitoka huko atakuwa kalegea kama Mo !!! Kisha atasema wabunge hao ni halali.
 
Ukifuata sheria inavyotaka, baada ya wabunge hao wa viti maalum kufutwa uanachama wao, inatakiwa Spika apewe taarifa kwa maandishi (barua) kutoka kwa katibu mkuu wa Chadema akimtaarifu kuwa watu hao siyo wanachama wa Chadema.

Spika asipopata barua hiyo hana mamlaka ya kuwavua ubunge wao wa viti maalum.

Changamoto ni kwamba Chadema hawatambui viongozi wote waliopatikana kutokana na uchaguzi uliopita akiwemo spika, Sasa watamwandikiaje spika wasiyemtambua? Wakiandika barua kwa spika maana yake madai yao yote kuhusu uchaguzi yatakuwa ni batili.

Kwa hiyo usishangae ndugai anaposema atawalinda anafahamu Sheria inawalinda.
HII WALA SIYO HOJA, ETI HAWAMTAMBUI SPIKA. KWANI NI KWELI SIYO SPIKA? HIYO BARUA ITAANDIKWA KWA ANWANI YA SPIKA. NA YEYE ASIPOFANYIA KAZI HIYO BARUA MAANA YAKE AMEBARIKI NA KUUTANGAZIA UMMA KWAMBA YEYE SIYO SPIKA. KAMA YEYE ANAJITAMBUA KUWA NI SPIKA ANATAKIWA KUFANYA KAZI ZA SPIKA. SIYO LAZIMA UTANGAZE HADHARANI KUMTAMBUA MTU KWA CHEO CHAKE. KAMA BARUA YA CHADEMA HAITAMWANDIKIA SPIKA HAPO HATAFANYIA KAZI HIYO BARUA, LAKINI KAMA ITAKUWA ADDRESSED TO SPEAKER THEN THE OFFICE OF SPEAKER SHOULD WORK ON THAT LETTER. KUMBUKENI HIZI OFISI SIYO MTU.
 
Hatuhitaji ww kutuambia, tunaona kwa macho yetu. Kwahiyo usipoteze muda wako bure. Hao sio wabunge wa cdm bali wa spika. Awanunulie hata helicopter ya kuwazungusha hapa nchini, lakini maamuzi tayari yameshachukuliwa.
WATU WANASHINDWA KUELEWA. SUALA HAPA SIYO KUWAZUIA AKINA MDEE KUINGIA BUNGENI ILA KUWAITA WABUNGE WA CHADEMA. KWA HIYO NDUGAI KUWAONDOA BUNGENI AU KUWAACHA HILO NI JUU YAKE NA KATIBA YA NCHI NA SIYO CHADEMA. HAPO NDUGAI HAGOMBANI NA CHADEMA BALI ANAGOMBANA NA KATIBA. AENDELEE KUWAWEKA BUNGENI KWA MUJIBU WA KATIBA ANAYOIFAHAMU YEYE.

CHA MSINGI NI KWAMBA TUJUE FIKA KWAMBA NYAKATI HIZI ZA HAWA NDUGU WAWILI, JOB NA JIWE KATIBA HAINA NAFASI HATA KIDOGO.
 
WATU WANASHINDWA KUELEWA. SUALA HAPA SIYO KUWAZUIA AKINA MDEE KUINGIA BUNGENI ILA KUWAITA WABUNGE WA CHADEMA. KWA HIYO NDUGAI KUWAONDOA BUNGENI AU KUWAACHA HILO NI JUU YAKE NA KATIBA YA NCHI NA SIYO CHADEMA. HAPO NDUGAI HAGOMBANI NA CHADEMA BALI ANAGOMBANA NA KATIBA. AENDELEE KUWAWEKA BUNGENI KWA MUJIBU WA KATIBA ANAYOIFAHAMU YEYE.

CHA MSINGI NI KWAMBA TUJUE FIKA KWAMBA NYAKATI HIZI ZA HAWA NDUGU WAWILI, JOB NA JIWE KATIBA HAINA NAFASI HATA KIDOGO.
Kimsingi Chadema mbunge ni mmoja tu!
Hao wengine 19 wanainajisi Bunge.
Tutaipata kwenye taarifa ya CAG 2012-2013.
 
Back
Top Bottom