MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,343
- 11,227
Tatizo letu kubwa ni impunity...
"Exemption from punishment or freedom from the injurious consequences of an action."
Nchi nzima inajua wale sio wabunge halali, lakini wanaendelea kulindwa kwa sababu wanajua hatuna kitu tutafanya.
Taasisi yenye viongozi wanaojiheshimu; walipaswa ku-take a step back na kuipa nafasi hiyo doubt. Hivi kweli mtu una mke, then unaambiwa na mama wa mke wako, hao watoto sio wa kwako; hutaki hata kustuka!
"Exemption from punishment or freedom from the injurious consequences of an action."
Nchi nzima inajua wale sio wabunge halali, lakini wanaendelea kulindwa kwa sababu wanajua hatuna kitu tutafanya.
Taasisi yenye viongozi wanaojiheshimu; walipaswa ku-take a step back na kuipa nafasi hiyo doubt. Hivi kweli mtu una mke, then unaambiwa na mama wa mke wako, hao watoto sio wa kwako; hutaki hata kustuka!