Spika Dkt. Tulia ajuzwe Wabunge 19 hawajawahi kuteuliwa na CHADEMA. Wameingia kwa kufoji nyaraka

..kwa mazingira haya sio lazima pawepo na mlalamikaji. Hapa kuna harufu ya jinai na DCI alipaswa kunusa ili kupata ukweli.
Jeshi la polisi, lina act on its own, kwenye public crimes only, lakini kwa private crimes, lazima mhusika aripoti polisi. Hata ile issue ya Lissu kuitisha press na kusema anafuatiliwa hadi kutaja number ya gari, Polisi hawakufanya chochote.
Naendelea kusitiza humu, namna bora ya kuisaidia Chadema, sio kuimbeleza na kuulea uzembe kama huu, lazima tuikomalie ianze kufanya mambo the right way.
..waandishi wachunguzi hawatakiwi kusubiri hisani ya Chadema bali wanatakiwa wawe pro active kuusaka ukweli toka NEC, Ofisi ya Bunge, na Chadema.

..mpaka sasa hivi hakuna muandishi aliyekwenda kuulizia jambo hili NEC. Hiyo inaonyesha waandishi wetu wamezubaa, au hawako makini ktk majukumu yao.
Kwenye hili la media kutotimiza wajibu wetu kikamilifu kwenye hili, nakubali responsibility, kiukweli madia yetu...
naomba nisiseme sana, waandishi wenye uwezo huo tupo, tatizo ni media zenye uwezo wa kupokea IJ za kihivyo...
hata kuwabaini wale wasiojulikana waliomshambulia Lissu, kwa wengine wetu ni kazi ya siku moja tuu!.
P
 
Jeshi la polisi, lina act on its own, kwenye public crimes only, lakini kwa private crimes, lazima mhusika aripoti polisi. Hata ile issue ya Lissu kuitisha press na kusema anafuatiliwa hadi kutaja number ya gari, Polisi hawakufanya chochote.
Naendelea kusitiza humu, namna bora ya kuisaidia Chadema, sio kuimbeleza na kuulea uzembe kama huu, lazima tuikomalie ianze kufanya mambo the right way.

Kwenye hili la media kutotimiza wajibu wetu kikamilifu kwenye hili, nakubali responsibility, kiukweli madia yetu...
naomba nisiseme sana, waandishi wenye uwezo huo tupo, tatizo ni media zenye uwezo wa kupokea IJ za kihivyo...
hata kuwabaini wale wasiojulikana waliomshambulia Lissu, kwa wengine wetu ni kazi ya siku moja tuu!.
P

1. Hili sio suala binafsi. Mambo yanayohusu Chadema au vyama vya siasa sio binafsi, ni mambo ya UMMA au PUBLIC INTEREST.

2. Suala la Lissu kufuatiliwa jeshi la Polisi " lilichunguza. " Umesahau kwamba Waziri wa mambo ya ndani alidai namba ni za gari iliyokuwa Arusha na haikuwahi kufika Dsm? Au labda Waziri alidanganya au alidanganywa.

3. Kwenye suala hili Chadema wametimiza wajibu wao. Wamechukua hatua za kinidhamu zinazolingana na makosa ya wahusika. Wangekuwa hawajachukua hatua za kichama then wangestahili lawama.
 
alafu ndo katiba mpya itafuatia,si ndio?
hujanielewa wewe. wapi nimeandika katiba mpya? nilichomaanisha ni uchaguzi wa 2025, watasimama kwa tiketi ya chama gani...

hata hivyo kwani kuandika katiba ni dhambi au mwisho wa dunia? komaza akili yako, change is always inevitable in life!
 
1. Hili sio suala binafsi. Mambo yanayohusu Chadema au vyama vya siasa sio binafsi, ni mambo ya UMMA au PUBLIC INTEREST.

2. Suala la Lissu kufuatiliwa jeshi la Polisi " lilichunguza. " Umesahau kwamba Waziri wa mambo ya ndani alidai namba ni za gari iliyokuwa Arusha na haikuwahi kufika Dsm? Au labda Waziri alidanganya au alidanganywa.

3. Kwenye suala hili Chadema wametimiza wajibu wao. Wamechukua hatua za kinidhamu zinazolingana na makosa ya wahusika. Wangekuwa hawajachukua hatua za kichama then wangestahili lawama.
1. Kwanza jinai zote mshitaki ni Jamhuri, lakini jinai against any entity or person kipolisi ni private crime, hata mtu akifoji documents yoyote ya serikali, lazima viongozi husika waitaarifu polisi. Kama Chadema wanadai kuna forgery, there is no any short cut, lazima waripoti polisi, na ni wao ndio watakaofanya attestation ya verification ya jinai ya forgery kwa kanuni ya whoever alleges, must prove, and the burden of proof lies with the prosecution kwa msaada wa Chadema.
2. Issue ya Lissu tangu mwanzo hadi shooting, there are signs za negligence kwa upande wa Chadema. Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
3. Unaunga mkono ile kangaroo court ya CC ya Chadema?. Naamini katiba ya Chadema unaijua, CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti, M/Mwenyekiti, KM, NKM, na wenyeviti wa Bawacha, Bavicha na Baraza la Wazee. CC ilipotimua ZZK, ilitumia mamlaka gani?. Sasa CC ya Chadema imemtimua Mwenyekiti wa Bawacha kwa mamlaka gani?.
Taratibu zote za nidhamu ziko wazi na ni hatua kwa hatua.
1. Hatua ya kwanza ni hati ya mashitaka yenye tuhuma specific in writing na kupewa 14 days kujibu. Hili halikufanyika.
2. Hati hiyo inapelekwa kwa despatch na hizo 14 days zinaanza ku count baada ya barua kupokelewa. Hili halikufanyika.
3. Baada ya kujibu tuhuma ndipo CC inaitisha kikao cha mamlaka ya nidhamu kwa wale tuu ambao CC ina mandate nao. Hili halikufanyika.
4. Ndipo watuhumiwa wanapewa haki ya kusikilizwa. Hili halikufanyika.
5. Kanuni number 1 ya natural justice ni "no one is condemned unheard!". They were all condemned unheard na kutimuliwa bila kusikilizwa!. Only Kangaroo courta does that!.
Kama haitoshi, ni nini sasa kimezuia kikao cha Baraza Kuu kisiitishwe mpaka sasa ili kuyabariki maamuzi batili ya CC yao?!.
P
 
Hii nchi ina watu wanafiki sana. Hivi mnaposema DCI agechunguza hili suala hivi aliyekuwa DCI jina lake nani vile kama nimelisikia limetrend sana siku hizi mbili.

Vipi mtu akihukumiwa halafu akakata rufaa. Je anaanza kutumikia adhabu au inaahirishwa mpaka rufaa yake isikilizwe.

Ni mtizamo tu.
 
Hilo la forgery mbona haliko kwenye barua? Kilichoandikwa ni "njama za kujiteua huku wakijua hiyo ni kazi ya kamati kuu". Njia pekee ya kudhihirisha kama ni kweli au la ni kutoa orodha ya wateule wa Kamati Kuu tuone kama ni majina tofauti. Hyo oroda mbona hatolewi? Wanaogopa ina majina ya wake, shangazi au dada wa vinara Mwenyekiti Mbowe, Mgombea Urais Tundu Lissu na wafadhili Lowassa na Nyalandu kwani kulikuwa na makubaliano.
Soma vizuuri sana ukiwa umetulia Mkuu, swala la forgery liko kwenye hiyo barua! Read between the lines and you will find it and understand.
 
1. Kwanza jinai zote mshitaki ni Jamhuri, lakini jinai against any entity or person kipolisi ni private crime, hata mtu akifoji documents yoyote ya serikali, lazima viongozi husika waitaarifu polisi. Kama Chadema wanadai kuna forgery, there is no any short cut, lazima waripoti polisi, na ni wao ndio watakaofanya attestation ya verification ya jinai ya forgery kwa kanuni ya whoever alleges, must prove, and the burden of proof lies with the prosecution kwa msaada wa Chadema.
2. Issue ya Lissu tangu mwanzo hadi shooting, there are signs za negligence kwa upande wa Chadema. Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
3. Unaunga mkono ile kangaroo court ya CC ya Chadema?. Naamini katiba ya Chadema unaijua, CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti, M/Mwenyekiti, KM, NKM, na wenyeviti wa Bawacha, Bavicha na Baraza la Wazee. CC ilipotimua ZZK, ilitumia mamlaka gani?. Sasa CC ya Chadema imemtimua Mwenyekiti wa Bawacha kwa mamlaka gani?.
Taratibu zote za nidhamu ziko wazi na ni hatua kwa hatua.
1. Hatua ya kwanza ni hati ya mashitaka yenye tuhuma specific in writing na kupewa 14 days kujibu. Hili halikufanyika.
2. Hati hiyo inapelekwa kwa despatch na hizo 14 days zinaanza ku count baada ya barua kupokelewa. Hili halikufanyika.
3. Baada ya kujibu tuhuma ndipo CC inaitisha kikao cha mamlaka ya nidhamu kwa wale tuu ambao CC ina mandate nao. Hili halikufanyika.
4. Ndipo watuhumiwa wanapewa haki ya kusikilizwa. Hili halikufanyika.
5. Kanuni number 1 ya natural justice ni "no one is condemned unheard!". They were all condemned unheard na kutimuliwa bila kusikilizwa!. Only Kangaroo courta does that!.
Kama haitoshi, ni nini sasa kimezuia kikao cha Baraza Kuu kisiitishwe mpaka sasa ili kuyabariki maamuzi batili ya CC yao?!.
P
All that said Pascal, je kuna justification yoyote ya kuwaapisha tena kiaina ile? Ile ilikuwa kama "Pool Party" Tena mmoja kufunguliwa jela jana yake na kuapishwa? Two wrongs do not make or result to a right!
 
Kuna kitu nimegundua kuhusu viongozi wa Afrika mfano tz na ccm yake.
Kiukweli wengi wameelemewa sana na msimamo wa chama chao.
Japo mioyo yao inawasuta ndani kwa ndani, hawawezi kabisa kutenda kulingana na kilicho katika nafsi zao hata kama ni sahihi, bali hutenda kufuatana na kundi lao linataka nini hata kama si sahihi na ni haramu.
So, kiongozi as an individual anaweza kuwa mtu mwenye roho nzuri tu lakini hana uwezo kabisa kufuata utashi wake bali matakwa ya chama au watawala as a group.
Hii hali inaumiza sana watu na taifa kwa ujumla.
Wana kitu tunaweza kuita mob psychology.
Watawala ni wanufaika na hivi kama group kikubwa ni kulinda kundi lao by any means.
Ccm kama chama tawala watalinda kundi lao by any means. Kwa wapinzani ni nuksi tu.
It does'nt matter if it is unfair or fair, wrong or right, lawful or unlawful. Bora kundi lao liendelee kuwepo come what may.
Solution kupunguza hii hali na kuiponya nchi ni kuweka utaratibu mzuri wa kisheria na kikatiba wa kujitawala.
Kuendelea kukataa hili ni yaleyale ya kulinda maslahi ya hayo makundi.
Mwenye akili na atafakari ukweli huu.
 
1. Kwanza jinai zote mshitaki ni Jamhuri, lakini jinai against any entity or person kipolisi ni private crime, hata mtu akifoji documents yoyote ya serikali, lazima viongozi husika waitaarifu polisi. Kama Chadema wanadai kuna forgery, there is no any short cut, lazima waripoti polisi, na ni wao ndio watakaofanya attestation ya verification ya jinai ya forgery kwa kanuni ya whoever alleges, must prove, and the burden of proof lies with the prosecution kwa msaada wa Chadema.
2. Issue ya Lissu tangu mwanzo hadi shooting, there are signs za negligence kwa upande wa Chadema. Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
3. Unaunga mkono ile kangaroo court ya CC ya Chadema?. Naamini katiba ya Chadema unaijua, CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti, M/Mwenyekiti, KM, NKM, na wenyeviti wa Bawacha, Bavicha na Baraza la Wazee. CC ilipotimua ZZK, ilitumia mamlaka gani?. Sasa CC ya Chadema imemtimua Mwenyekiti wa Bawacha kwa mamlaka gani?.
Taratibu zote za nidhamu ziko wazi na ni hatua kwa hatua.
1. Hatua ya kwanza ni hati ya mashitaka yenye tuhuma specific in writing na kupewa 14 days kujibu. Hili halikufanyika.
2. Hati hiyo inapelekwa kwa despatch na hizo 14 days zinaanza ku count baada ya barua kupokelewa. Hili halikufanyika.
3. Baada ya kujibu tuhuma ndipo CC inaitisha kikao cha mamlaka ya nidhamu kwa wale tuu ambao CC ina mandate nao. Hili halikufanyika.
4. Ndipo watuhumiwa wanapewa haki ya kusikilizwa. Hili halikufanyika.
5. Kanuni number 1 ya natural justice ni "no one is condemned unheard!". They were all condemned unheard na kutimuliwa bila kusikilizwa!. Only Kangaroo courta does that!.
Kama haitoshi, ni nini sasa kimezuia kikao cha Baraza Kuu kisiitishwe mpaka sasa ili kuyabariki maamuzi batili ya CC yao?!.
P

1. Suala kina Halima liko kwenye public. Hatuwezi tena kitumia " taratibu " kama kichaka cha Polisi kutokuchunguza.

Polisi wanaojali maslahi ya nchi wangechunguza kwa kuitisha vielelezo toka Chadema, NEC, na bunge.

Baada ya hapo ndipo ingeamuliwa sasa kama kuna aliyekosewa au mambo yote yako sawa.

2. Suala la Lissu hata kama Chadema walikuwa wazembe hakuna justification yoyote ya vyombo vya dola kutokuchunguza.

Haiwezekani mbunge anashambuliwa kinyama namna ile halafu Polisi hawaonyeshi concern yoyote, hawachunguzi, na mwisho lawama anatupiwa majeruhi mwenyewe.

3. Ninavyoelewa mimi ni kwamba Halima na wenzake walipewa nafasi ya kujitetea lakini hawakuitumia.

Kuhusu baraza kuu la Chadema kutokukaa hilo siwezi kuwasemea. Wako wanaodai ni kutokana na ukata, wakati wengine wakidai kesi ya Mwenyekiti wao imesababisha baraza lisiitishwe.
 
Hilo la forgery mbona haliko kwenye barua? Kilichoandikwa ni "njama za kujiteua huku wakijua hiyo ni kazi ya kamati kuu". Njia pekee ya kudhihirisha kama ni kweli au la ni kutoa orodha ya wateule wa Kamati Kuu tuone kama ni majina tofauti. Hyo oroda mbona hatolewi? Wanaogopa ina majina ya wake, shangazi au dada wa vinara Mwenyekiti Mbowe, Mgombea Urais Tundu Lissu na wafadhili Lowassa na Nyalandu kwani kulikuwa na makubaliano.
!!!

Chadema walisema hawatapeleka Wabunge, sasa ulitaka uone orodha ipi?
Kusema njama za kujiteua maana yake wamejiteua haina maana nyingine tena
 
Hata kama Spika atawachukulia kuwa NI wanachama halali wa Chadema. Chadema imeshatoa ufafanuzi nyaraka zilizotumika kuwaingizwa bungeni zimefojiwa.

Na wanaoandaa nyaraka hizo wameshatoa taarifa za sahihi zao na majina yao kufojiwa. Sijui wanataka Nani aje asibitishe Hilo. Wakati wewe unasema huyu ndio aliyeandaa Orodha ya Wabunge. Kamati kuu inakaa kikao inakupa barua kuwa hatukuandaa sisi. Na wanakujulisha Spika kuwa hao NI waalifu wamefoji nyaraka.

CHADEMA haina haja ya kutoa taarifa za uhai au kutokuwa mwanachama ili kuonesha uhalali wa akina mdee. Sababu hawatakiwi kuwepo bungeni sababu wameingia kwa njia haramu.

Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.

Kushindwa kufanya hivyo kutaendelea kuoneshaa dunia kuwa Sheria ya Kinga dhidi ya kushitakiwa kwa spika ililetwa ili kumfanya Spika kutoa maamuzi ya kuangamiza upinzani. Na kuwe akuna mwanya wa kuipata haki kokote atakapoweza kuitafunga au kuipokonya kwa nguvu.

Kwa Sheria hiyo Spika Sasa ameweza kuvunja katiba bila hofu ya kushitakiwa, kupingwa Wala maamuzi yake kukatiwa rufaa.
Kwa kifupi Covid 19 ni wabunge haramu. Watimuliwe bungeni mara Moja.
 
Basi Spika ajikite kuonesha uhalali wa nyaraka zilizotumika na majina na sahihi na katibu aliyepeleka majina kwa spika. Na vikao vilivyopitisha majina hayo.
Spika ametokana na njia ''haramu''. Kuchaguliwa 100% maana yake na akina Halima wamo

Chadema ni wadhamini wa Wabunge, wao hawawatambui kama ambavyo CCM haikumtambua Sophia na kupoteza Ubunge.

Si kazi ya Spika kuhakiki njia za vyama, ni kazi ya Spika kupata taarifa sahihi.
Taarifa ya Chadema ni kuwa NEC wamefoji, hilo tu ni tuhuma kubwa sana

Ili Bunge liwe na heshima Spika alipaswa kuomba vyombo vya serikali vifanyie uchunguzi tuhuma. Ikitibitika ni uongo awasiliane na vyombo husika ikiwemo Msajili wa vyama ili hatua zichukuliwe.

Kukaa kimya ni kuthibitisha kauli za Chadema kwamna kuna ''forgery'' na hilo ni dhalili kubwa

Rais Samia akifungua mkutano wa Wadau wa vyama vya siasa Dodoma aliseme '' ni lazima watu wafuate sheria za nchi na kwamba mtu akijiheshimu ataheshimiwa''

Kwa hili sijui Bunge linalotunga sheria linawaambia nini wananchi! na Rais kwa ujumla

JYN alitumia ubabe tu , majonzi ni Spika, Mwanasheria na Mhadhiri wa chuo kikuu kuendeleza udwanzi ule ule bila aibu!
 
Mkuu Nguruvi3 , nashauri tuisaidie Chadema to do the right thing. Chadema wametoa tuhuma nzito za forgery, kuwa barua ya uteuzi wa wabunge hao wa viti maalum wa Chadema, imefojiwa. Kwanini mpaka sasa Chadema haijaripoti polisi jinai hii ili hatua stahiki zichukuliwe?.
P
Mkuu kama ni hivi basi tuna jeshi la Polisi la ajabu sana. Jeshi hili unalotaka lipelekewe taarifa na Chadema linaomba wananchi wenye habari ''tips' wasaidie katika kuzuia uhalifu.

Maana yake jeshi likipata taarifa linafanyia kazi kuzithibitisha au kukanusha.
Ndivyo majeshi mengine duniani yanavyofanya

London Metropolitan Police walipata taarifa kwamba PM Boris alikiuka maadili ya COVID-19.
Juzi walikuwa wanamhoji. Wakati Police wakifanya hivyo Bunge liliunda kamati ya Sue Gray.
Wote, kamati ya Bunge na Police wanachunguza '' Partygate'' Hawasubiri kuletewa mezani
 
..kwa mazingira haya sio lazima pawepo na mlalamikaji.
H.Polepole alizuiwa kipindi chake na TCRA, nani alikuwa mlalamikaji?
Polisi wanapozuia maandamano kwa taarifa za Intelejensia, nani mlalamikaji
Polisi wakikamata malori yenye Waethiopia, nani mlalamikaji
Hapa kuna harufu ya jinai na DCI alipaswa kunusa ili kupata ukweli.
Haswa, lakini pia kuna suala la heshima. Tume ya uchaguzi inapotuhumiwa na kosa la forgery ilipaswa ukweli utafutwe. DCI alipaswa kuchunguza na kusema ni kweli au la, kwa kukaa kimya Chadema ni Wakweli hadi taarifa nyingine. Spika hana nguvu za kusafisha uchafu huu
..waandishi wachunguzi hawatakiwi kusubiri hisani ya Chadema bali wanatakiwa wawe pro active kuusaka ukweli toka NEC, Ofisi ya Bunge, na Chadema.
Hapa kuna masikitiko sana! Waandishi wangeweza kusaidia ukweli. Kwa bahati mbaya sana si Waandishi wa hapa kwetu! hili linasikitisha sana. Nchi zingine scandal zinaibuliwa na media. So sad kwa Tz
..mpaka sasa hivi hakuna muandishi aliyekwenda kuulizia jambo hili NEC. Hiyo inaonyesha waandishi wetu wamezubaa, au hawako makini ktk majukumu yao.
Hata kumuuliza Spika kuhusu tuhuma hizo hawakuweza. Hawakumuuliza sheria gani inaelekeza yeye kupokea Watu wasio na vyama.

Laiti madai ya Chadema yangekuwa si kweli, ungemsikia yule Mzee asiyejali vyama anavyohemuka, kufoka na matamko yasiyo na kichwa au miguu. Pale napo ni tatizo kubwa tu. Sijui Wanasheria wa Tanzania wameingiwa na kitu gani.
 
Wanasema common sense is not common, ktk hili binafsi nasema common sense must be common, .... Ninani mwenye mamlaka ya ya kuchomoa mtu aliyemhifadhi mahabusu, tena akamsafirisha usiku wa manane kisha usiku huo na alfajili akamwapisha kuwa mbunge?......
 
Mkuu JokaKuu , kwanza naunga mkono hoja, DCI kuchunguza jinai hii, ila ili DCI achunguze ni lazima kwanza kuwepo mlalamikaji. Chadema lazima iripoti polisi ndipo hatua za uchunguzi zifuate.
Mkuu P. Hapa kuna hoja nyingi sana zitokanazo. Kwanza, inaonyesha jinsi gani tuna taasisi nyingi bila kujua majukumu yake au taasisi hizo kufanya kazi bila kujuana ipi inafanya nini
1. Jeshi la Polisi linapaswa kufanya uchunguzi wa mambo mengi. Kwa nyakati hizi kuna kuunda kamati , tume n.k. Hii ni kwasababu ya 'incopitance' ya Jeshi, na hata kutojua baadhi ya principles.
Hivi Jeshi la Polisi linawezaje kujicgunguza? Nani anaamua hilo lifanyike. Ni kinyume na misingi ya haki kwa namna yoyote, lakini kila siku yanatokea.

Juzi nimesikia Polisi wanatoa taarifa kuhusu watu waliokufa kwa ''moto' . Polisi wanasema kifo kimesababishwa na moshi uliowafanya wasiweze kuvuta hewa. Wakati taarifa hiyo inatolewa hakukuwepo mtaalamu yoyote wa Afya (Daktari) au taarifa yake. Maana yake ni jeshi limeamua aina ya kifo. Katika mazingira hayo uhalifu unaweza kufanywa kwa kutumia moshi!

2. Kuna PCCB ambayo jukumu lake ni kuzuia na kupambana na rushwa. Tuhuma za Forgery zimetolewa na chama cha Upinzani tena kwa kutuhumu Taasisi muhimu sana ya uchaguzi (NEC)
Je, PCCB walijiridhisha kwamba hakukuwa na rushwa? kuna rushwa aina nyingi zikiwemo pesa na ngono

3.DCI anapokea taarifa lakini pia ana mamlaka ya kuchunguza kwa kushirikiana na vyombo vingine. Ikiwa kuna tuhuma vyombo hapo juu vinaweza kufanya kazi pamoja.

Kama hili la Fogery haliwezekani, tunawezaje kubaini ugaidi kule Simiyu?
Waandishi wa habari za kichunguzi tupo, ila kabla hata sisi hatujafanya chochote, hatua ya kwanza ni kuiona barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC. Bila Chadema kutoa ushirikiano kwenye hili, no IJ journalist can do anything!.
Hapana, waandishi wa kichunguzi wanatafuta habari kwa source zao hawasubiri kuletewa mezani
Chadema ina matatizo ya handling some issues.
Yes to some extent kuna ukweli, kulikuwa a hint za jambo hilo. Kwasababu zisizojulikana Chadema hawakuweza ku pre-empty situation na handling yake baada ya pale ilikuwa poor! kuna ukwel
 
Back
Top Bottom