habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Zitto: Mbele ya Mkuu wa Nchi, Makonda amewabagaza wabunge ikiwemo wewe mwenyewe. Lakini maelezo unayoyatoa ni kana kwamba wewe si mkuu wa mhimili. Tunaomba mwongozo wako juu ya hili....
Spika: Kiongozi huyo (Makonda) hajitambui na wala hajielewi. Ni bahati mbaya sana tuna viongozi wa serikali wanaodiriki kumdanganya mkuu wa nchi hadharani...
Nb: mbona Kwa CAG Ndugai alikuwa mbogo Kwa huyu imekuwaje
Inatia hasira sana
Spika: Kiongozi huyo (Makonda) hajitambui na wala hajielewi. Ni bahati mbaya sana tuna viongozi wa serikali wanaodiriki kumdanganya mkuu wa nchi hadharani...
Nb: mbona Kwa CAG Ndugai alikuwa mbogo Kwa huyu imekuwaje
Inatia hasira sana