Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amewashangaa mawaziri kupeleka miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya upinzani wakati wabunge hao wamepiga kura ya hapana kwenye bajeti ya serikali
Spika alitoa ufafanuzi huo baada ya mbunge wa Mbeya mjini Sugu kuhoji juu ya maelekezo ya awali aliyoyatoa juu ya watakaopiga kura za hapana, ndio na ku abstein
Spika alitoa ufafanuzi huo baada ya mbunge wa Mbeya mjini Sugu kuhoji juu ya maelekezo ya awali aliyoyatoa juu ya watakaopiga kura za hapana, ndio na ku abstein