Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?