Katika hali isiyokuwa ya kawaida katika semina ya wabunge wa Afrika mashariki spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewaambia wabunge hao kuwa wanaweza kutoka nje ya bunge la Afrika Mashariki ikiwa wataona kuna hoja inaikandamiza Tanzania.Alisema bunge lina watu wajanja sana hivyo wanaweza kuikandamiza Tanzania.Ushauri huu wa spika unaonyesha dhahiri kwaba anakubaliana na wabunge wa CHADEMA kwa msmamo wao wa kutoka nje ya bunge pale wanopoona watanzania wanaonewa. Naomba kuwasilisha.