Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kwakweli bora anywe bia tu!kunywa beer mkuu wachana na mambo ya ndu-guy yatakuumiza kichwa tu
Kwakweli bora anywe bia tu!kunywa beer mkuu wachana na mambo ya ndu-guy yatakuumiza kichwa tu
Je ni kweli unayosema au kila kitu tunailaumu Serkali?
Serekali inaongozwa na mtu ambaye ambaye hana uwezo wa nafasi hiyo. Yeye ana uwezo wa miundombinu anadhani ndio urais.
Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Mbona mlisema anatekeleza ilani yenu?
Kumbukumbu za wengine hufutika haraka kama dusta inavyo futa chokaa ubaokunywa beer mkuu wachana na mambo ya ndu-guy yatakuumiza kichwa tu
Huu usajili nimeupenda. Safi Sana.Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Kuuliza swali bungeni, tena bunge lililopo gizani kunawezaje kuhatarisha amani ya nchi? Tangu lini kuuliza swali ni kutofuata sheria? Uwe umetumia akili kujibu issues hapa JFNi vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Huu usajili nimeupenda. Safi Sana.
Mwanzo umedai humjui huyo mbunge Devota ni wachama gani lakini mwisho umemalizia kwa kusema ubabe wa CCM!!
Bro changia hoja matusi ya nn?
yaani misukule kama nyie mkiwa na bando mantia sana kinyaaNi vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Dah! Unayumba kishenzi dingii😂😂😂😂Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi