Asiye na Chama
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 1,269
- 652
Mkuu hebu tutajie hiyo ibara, wengine tuko wavivu kusoma sheria!Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Mkuu hebu tutajie hiyo ibara, wengine tuko wavivu kusoma sheria!Ni vizuri tufuate sheria ili Tuendelee kudumisha amani ya Nchi
Ubabe unaweza kuwa ndani na nje ya CCM. The fact is ubabe umetumika kumzuia Devota asiwasilishe swali lake...!!Mwanzo umedai humjui huyo mbunge Devota ni wachama gani lakini mwisho umemalizia kwa kusema ubabe wa CCM!!
Hunifikii Mimi yaani huwa simwelewi kabsa,Japo simjui hata jina Wala sura yake lkn namchukia hataree.dah..we jamaa sijui wanakulipa kiasi gani aisee. yani unaboa mpk kichefuchefu
Huu usajili nimeupenda. Safi Sana.
so sad!kunywa beer mkuu wachana na mambo ya ndu-guy yatakuumiza kichwa tu
Mkuu, kuna watu humu sijui ni kazi au kukosa kazi. Kuna watu humu wanaanzisha nyuzi hafu wanajijibu wenyewe ...........!!dah..we jamaa sijui wanakulipa kiasi gani aisee. yani unaboa mpk kichefuchefu
Mwanzo umedai humjui huyo mbunge Devota ni wachama gani lakini mwisho umemalizia kwa kusema ubabe wa CCM!!