Spika aliahirisha Bunge Ijumaa (8/4/2011) kwa Shughuli za CCM?

Hawawezi kuwa kwa KATIBA hii.

Nguvu ya umma matata mkuu! Si unaona wanaanza kubadili suti wanajidanganya kwamba wamevua magamba? Kwani Makamba na Mukama wametofautiana umri miaka mingapi? Wanatofautianaje kifikra na uwezo wa kuelewa matatizo mapana ya wananchi?
 
Mkuu hapo inakuwa ngumu kusema hauwezi kujua chama kingine kikiingia madarakani inakuwaje maana kuna mawili either WORSE or BETTER

Hahahaaa, nakubaliana na wewe kwamba wakati mwingine lazima tukubali nusu shari kuliko shari kamili. Lakini mkuu unajua tukiingia kwenye mantiki ukiruhusu kuamua jambo kwa kupima degree of diversion or conversion utasababisha mfarakano mkubwa kwenye jamii. Kwa sababu kile ambacho wewe utaona ni afadhali mimi nitaona siyo afadhali ya kutosha. Kwenye hili dawa ni kuwa na either or, yaani ama katiba imedhibiti chama tawala au haikudhibiti kabisa (kama ilivyo sasa hivi)
 
Hahahaaa, nakubaliana na wewe kwamba wakati mwingine lazima tukubali nusu shari kuliko shari kamili. Lakini mkuu unajua tukiingia kwenye mantiki ukiruhusu kuamua jambo kwa kupima degree of diversion or conversion utasababisha mfarakano mkubwa kwenye jamii. Kwa sababu kile ambacho wewe utaona ni afadhali mimi nitaona siyo afadhali ya kutosha. Kwenye hili dawa ni kuwa na either or, yaani ama katiba imedhibiti chama tawala au haikudhibiti kabisa (kama ilivyo sasa hivi)
kweli mkuu ndio maana na mimi nasema tusiwe na haraka sana ya kutaka kubadili katiba maana inaweza ikawaja ni faraja kwa CCM sababu haraka yetu ya kutaka mabadiliko ya katiba inaweza kutufanya watupeleke ambako tutakuwa tunasema "Bora hata Katiba isingebadilishwa ingebakia ile ile" Hivi ulishawahi kuona wapi mapendekezo yanachukua siku mbili tuna haraka ya kitu gani??
 
Hahahaaa, nakubaliana na wewe kwamba wakati mwingine lazima tukubali nusu shari kuliko shari kamili. Lakini mkuu unajua tukiingia kwenye mantiki ukiruhusu kuamua jambo kwa kupima degree of diversion or conversion utasababisha mfarakano mkubwa kwenye jamii. Kwa sababu kile ambacho wewe utaona ni afadhali mimi nitaona siyo afadhali ya kutosha. Kwenye hili dawa ni kuwa na either or, yaani ama katiba imedhibiti chama tawala au haikudhibiti kabisa (kama ilivyo sasa hivi)
Bila kusahau viongozi wanajua watanzania wengi hawajui katiba ya nchi hii ndio maana wanataka kufanya haraka haraka
 
Wabunge wengi wa CCM wanajua vipengele fulani kwenye katiba vikibadilishwa basi wao na Rais watakuwa hawana mamlaka ya kufanya au kupiga kura kutokana na wingi wao sababu wingi wao kwenye Bunge ndio added advantage yao kwenye hii Katiba na wanajua kwamba Wananchi wakitoa maoni halafu hayo maoni yakaenda bungeni kujadiliwa uwezekano wa kuyatupilia mbali mambo ya msingi ni mkubwa

Halafu wakiona mtu yeyote anajaribu kuwafumbua wananchi macho wanakasirika kweli kweli kwa sababu ni sawa na kutia kitumbua chao mchanga
 
Halafu wakiona mtu yeyote anajaribu kuwafumbua wananchi macho wanakasirika kweli kweli kwa sababu ni sawa na kutia kitumbua chao mchanga
Si unaona sasa hivi wanavyoharakisha mapendekezo ya muswada ili urudi ujadiliwe Bungeni kwa kuwa wanajua wingi wao kwenye Bunge ndio advantage yao
 
But seriously, kwa nini Makinda aliahirisha Bunge?
Ukijaribu kufikiria jibu linalokuja haraka kichwani ni sababu ya huo mkutano wa CC yeye ni mmoja wa wajumbe, hapo sasa ndio unaanza kufikiria pia kuwa Katiba mpya inapswa ku-specify baadhi ya majukumu
 
Kila kona kilio, madudu, upupu....yaani Tz we acha tu.
Viongozi ni kama wamepigwa ganzi hajui machungu ya wananchi ndio maana hata kwa mambo muhimu mfano Katiba Mpya, wanafanya hiana na mzaha.

Spika huyu ni aibu kwa cheo na taasisi husika. Alipandikizwa eti ili alinde maslah na kurejesha umo kwa chama chao, kwa hiyo maslahi ya Tz ni 2nd fiddle kwa Makinda na CCM.
 
Naungana na wote walio na maono na msimamo kuwa suluhu sahihi ni kuwa na Katiba Mpya itakayotokana na wananchi, kwa ajili ya wananchi na mali ya wananchi wa Tz.
 
Ukijaribu kufikiria jibu linalokuja haraka kichwani ni sababu ya huo mkutano wa CC yeye ni mmoja wa wajumbe, hapo sasa ndio unaanza kufikiria pia kuwa Katiba mpya inapswa ku-specify baadhi ya majukumu

Hivi kwenye kanuni zetu na katiba ikigundulika kwamba Spika alidanganya bunge hatua gani huchukuliwa. Hizo hatu zinaweza kuchukuliwa na nani?

Spika Anna Makinda alidanganya watz kwamba anaahirisha bunge kuwapa wabunge nafasi ya kushiriki mchakato wa kutoa maoni kwenye mswada wa katiba mpya. Kumbe walikuwa wanahaha kuvua gamba feki
 
Naungana na wote walio na maono na msimamo kuwa suluhu sahihi ni kuwa na Katiba Mpya itakayotokana na wananchi, kwa ajili ya wananchi na mali ya wananchi wa Tz.

Hold your horses bana, katiba mpya wapi? Nyie mkimaliza kutoa maoni wanaingia mjengoni wanaanza mipasho kisha wanaipitisha huo mswada hivyo ilivyo. Ndiyo, kwani wewe unadhani ni kwa nini hawataki kuuandika upya?
 
Vikao vya bunge ni vikao ambavyo huwa vimepangiwa siku( scheduled)ambazo kimsingi ni kwa ajili ya kujadili mambo ya mcingi kwa ajili ya manufaa ya nchi.
Leo kikao cha bunge kiliahirishwa saa 4 asubuhi ili kuwaruhusu wabunge wa ccm wahudhurie vikao vyao vya kichama.Nachelea kusema ni matumizi mabaya ya kodi zetu kwani navyofahamu bunge huwa lina maambo ya kufanya jioni kama 2livyozoea.
HIV VYAMA VINGINE VINGEKUWA NA VIKAO, BUNGE LINGEAHIRISHWA?
mi nadhani imefika vikao vya vyama vifanyike vipindi tofauti na kipind ambacho bunge lina vikao dodoma. kwani ccm hawawezi kukutana wakati hakuna vikao vya bunge?

au wadau mnasemaje?
 
Vikao vya bunge ni vikao ambavyo huwa vimepangiwa siku( scheduled)ambazo kimsingi ni kwa ajili ya kujadili mambo ya mcingi kwa ajili ya manufaa ya nchi.
Leo kikao cha bunge kiliahirishwa saa 4 asubuhi ili kuwaruhusu wabunge wa ccm wahudhurie vikao vyao vya kichama.Nachelea kusema ni matumizi mabaya ya kodi zetu kwani navyofahamu bunge huwa lina maambo ya kufanya jioni kama 2livyozoea.
HIV VYAMA VINGINE VINGEKUWA NA VIKAO, BUNGE LINGEAHIRISHWA?
mi nadhani imefika vikao vya vyama vifanyike vipindi tofauti na kipind ambacho bunge lina vikao dodoma. kwani ccm hawawezi kukutana wakati hakuna vikao vya bunge?

au wadau mnasemaje?

hivi watu wengine mbona wagumu kueelewa? kwa nini mnakuwa wabishi jamani?

CCM inakufa!!!

Acheni ubishi!!!
 
Si unaona sasa hivi wanavyoharakisha mapendekezo ya muswada ili urudi ujadiliwe Bungeni kwa kuwa wanajua wingi wao kwenye Bunge ndio advantage yao

umewashutukia eeh, kama kwamba hayo yanayozungumzwa kuhusu huo mswada hayajatosha kuurudisha na kuandika upya
 
Nimekuwa nikipitapita mitaa ya hapa Dodoma...hakika hawa jamaa wahawana wanachofanya,mara nyingi utakuta wanarandaranda mitaani wakati vikao vinaendelea mfani leo nimemkuta huyu Dr wa kuchakachua waziri Mathayo CRDB anauza sura wakati kikao kinaendelea....sijui nifanyaje na hawa watu...........
 
umewashutukia eeh, kama kwamba hayo yanayozungumzwa kuhusu huo mswada hayajatosha kuurudisha na kuandika upya
I feel pity kwamba wananchi wengi hawajui Katiba basi CCM ndio wanatumia mtaji huo kuchezea watu kwenye hili suala mara unaambiwa wanataka wauandike kwa Kiingereza mara hela hamna ili mradi tu mwisho wa siku utasikia wanataka kuweka viraka kwenye katiba ya sasa which is their aim.
 
Hivi kwenye kanuni zetu na katiba ikigundulika kwamba Spika alidanganya bunge hatua gani huchukuliwa. Hizo hatu zinaweza kuchukuliwa na nani?

Spika Anna Makinda alidanganya watz kwamba anaahirisha bunge kuwapa wabunge nafasi ya kushiriki mchakato wa kutoa maoni kwenye mswada wa katiba mpya. Kumbe walikuwa wanahaha kuvua gamba feki
Yaani ajiwajibishe na kujihukumu mwenyewe ahaaa ahaaaa that democracy hapa Bongo bado sana
 
Back
Top Bottom