Spika 6 alivyotajirisha watu wiki iliyopita

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Kuna taarifa kuwa baada ya mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola kumalizika kuna watu wametengeneza mpaka dola milioni 4 katika kipindi cha wiki mbili mpaka kumalizika kwa kikao kile

Kuna mdau mmoja inasemekana amepata kitita cha kiasi cha bilioni 4 kwa kuwa alijiweka katika mazingira ya kuwmweka vizuri mzee 6 kwa kumsifia kwenye articles za magazeti (under different names\0 na kama zawadi ya malipo basi alipewa dili la booking za mahotelini ambazo risiti zinaonyesha zilikuwa inflated, na kule kwenye mahoteli aliwapiga biti kutwa kama hawataki kupunguza bei basi anaanza ...inshort jamaa kwa kila mgeni mmoja alitengeneza si chini ya dola 100

hapo bado hatujaingia kwenye kukodisha magari ya kuwatembeza wale wageni

.....sasa ombi langu basi hizo pesa itakuwa si vibaya tukachangiwa huku JF maana mtu mmoja kuwa na na dola milioni 4 ni ISTRAF

au mnasemaje?
 
Kuna taarifa kuwa baada ya mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola kumalizika kuna watu wametengeneza mpaka dola milioni 4 katika kipindi cha wiki mbili mpaka kumalizika kwa kikao kile

Kuna mdau mmoja inasemekana amepata kitita cha kiasi cha bilioni 4 kwa kuwa alijiweka katika mazingira ya kuwmweka vizuri mzee 6 kwa kumsifia kwenye articles za magazeti (under different names\0 na kama zawadi ya malipo basi alipewa dili la booking za mahotelini ambazo risiti zinaonyesha zilikuwa inflated, na kule kwenye mahoteli aliwapiga biti kutwa kama hawataki kupunguza bei basi anaanza ...inshort jamaa kwa kila mgeni mmoja alitengeneza si chini ya dola 100

hapo bado hatujaingia kwenye kukodisha magari ya kuwatembeza wale wageni

.....sasa ombi langu basi hizo pesa itakuwa si vibaya tukachangiwa huku JF maana mtu mmoja kuwa na na dola milioni 4 ni ISTRAF

au mnasemaje?

Mhhhh...kaaaz kwelikweli...Hizo taarifa zinatoka wapi?...zina uhakika kiasi gani? Mi naona kama vile imekaa kiushabiki zaidi!Anyway, kwenye booking hawawezi kupanga bei ambayo ni ya kwenye sayari nyingine, kama kuna cha chuu pia sidhani kama kinafikia bei hiyo uliyosema,...lakini kimsingi lazima tuelewe kwamba kwenye ishu kama hizo ni lazima kwa namna fulani baadhi ya watu watajitajirisha!Labda kuna wenye data zaidi....keep us in4rmed!
 
umesema bei iliongezwa kwa kiingereza highly infated, sasa si unaweza ku-quantify kwa kusema eg bei ya chumba impala ni $60 a day lakini wakafanya $100 mara idadi ya wageni.
pili umesema walikuwa na lazimisha kupunguza bei, sasa hapa nini ni nini kupunguza bei kwa sababu wameletewa wateja wengi/biashara au bei iliongezwa?
 
Kuna taarifa kuwa baada ya mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola kumalizika kuna watu wametengeneza mpaka dola milioni 4 katika kipindi cha wiki mbili mpaka kumalizika kwa kikao kile

Kuna mdau mmoja inasemekana amepata kitita cha kiasi cha bilioni 4 kwa kuwa alijiweka katika mazingira ya kuwmweka vizuri mzee 6 kwa kumsifia kwenye articles za magazeti (under different names\0 na kama zawadi ya malipo basi alipewa dili la booking za mahotelini ambazo risiti zinaonyesha zilikuwa inflated, na kule kwenye mahoteli aliwapiga biti kutwa kama hawataki kupunguza bei basi anaanza ...inshort jamaa kwa kila mgeni mmoja alitengeneza si chini ya dola 100

hapo bado hatujaingia kwenye kukodisha magari ya kuwatembeza wale wageni

.....sasa ombi langu basi hizo pesa itakuwa si vibaya tukachangiwa huku JF maana mtu mmoja kuwa na na dola milioni 4 ni ISTRAF

au mnasemaje?

"Acha wivu wewe, unafikiri watu watapate pesa.Kwani ameiba si ni mfanyabiashara dalali, wewe unataka chumba cha dola 900, na mimi nimekutafutia chumba cha kilekile na kukipata kwa dola 800, na ile dola 100 nimeweka mfukoni sasa nifanyeje?si dola 100 naweka mfukoni.Jamani wezi tuwaseme na wafanya biashara tuwaseme itakuwaje? acha wivu wewe".
 
watu wanadhani dola million 4 ni makaratasi?hahaha!
Ivi Sitta mwenyewe anayo hiyo hela?
 
Mh wazee, taarifa nyingine ni kuzichunguza kwanza maana isije ikawa nasi twafanya ufisadi mdogo wa kuwazushia watu bure.

Bilioni 6 jamani ni kiwango cha kutosha kabisa, kama ni kweli hivi hawa Viongozi wetu hawana huruma hata kidogo???

Tunapiga vita umaskini kweli au twauongeza?? Jamani hebu tuwe makini kidogo hii historia itakuja kutuhukumu sana kama hatutatimiza wajibu wetu. Wasomi hebu tufanye kitu fulani kwa ajili ya NCHI YETU.
 
GT aaaacha Udaku,wewe unataka tu kumpaka huyu mzee 6 kama ambavyo umekuwa ukifanya kwenye post zako za huko nyuma.

Kabla ya kikao cha CPA kunza mzee Sitta na kamati yake waliitisha kikao na waandishi wa habari akatoa maelezo mazuri sana juu ya ngarama za huu mkutano kuwa ni shs bil 3,kati ya hizo bil 1.5 zilitoka ofisi ya bunge na bil 1.5 zilitolewa na serikali.Alimshukuru sana pia mh.kikwete kwa ku facillitate hilo,Ikumbukwe kuwa kikwete alikuwa mlezi wa CPA kipindi ambacho mzee 6 alikuwa Rais wa CPA .
Katika kikao hicho na waandishi wa habari pia alieleza jinsi gani hela hiyo ingerudi ambapo alisema kila mjumbe kati ya hao 800 alitakiwa kuchangia $3500, na pia kungekuwa na economic gain kwa watanzania kwa biashara ya utalii na malipo mbali mbali kwa watu mmojammoja ambao kwa njia moja au nyingine watatumika katika kuhudumia wageni wakati wote wa mkutano huo.sasa GT 4 mil dola hapa iko wapi.?
 
Kuna taarifa kuwa baada ya mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola kumalizika kuna watu wametengeneza mpaka dola milioni 4 katika kipindi cha wiki mbili mpaka kumalizika kwa kikao kile

Kuna mdau mmoja inasemekana amepata kitita cha kiasi cha bilioni 4 kwa kuwa alijiweka katika mazingira ya kuwmweka vizuri mzee 6 kwa kumsifia kwenye articles za magazeti (under different names\0 na kama zawadi ya malipo basi alipewa dili la booking za mahotelini ambazo risiti zinaonyesha zilikuwa inflated, na kule kwenye mahoteli aliwapiga biti kutwa kama hawataki kupunguza bei basi anaanza ...inshort jamaa kwa kila mgeni mmoja alitengeneza si chini ya dola 100

hapo bado hatujaingia kwenye kukodisha magari ya kuwatembeza wale wageni

.....sasa ombi langu basi hizo pesa itakuwa si vibaya tukachangiwa huku JF maana mtu mmoja kuwa na na dola milioni 4 ni ISTRAF

au mnasemaje?

Tupo hapa kuhabarishana mambo ya msingi na si haya ya kwako yaso kichwa wala kiuno na miguu. Leta proof (hata kama ni hafifu) ya huu utumbo uliotuandikia.
 
Kuna taarifa kuwa baada ya mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola kumalizika kuna watu wametengeneza mpaka dola milioni 4 katika kipindi cha wiki mbili mpaka kumalizika kwa kikao kile

Kuna mdau mmoja inasemekana amepata kitita cha kiasi cha bilioni 4 kwa kuwa alijiweka katika mazingira ya kuwmweka vizuri mzee 6 kwa kumsifia kwenye articles za magazeti (under different names\0 na kama zawadi ya malipo basi alipewa dili la booking za mahotelini ambazo risiti zinaonyesha zilikuwa inflated, na kule kwenye mahoteli aliwapiga biti kutwa kama hawataki kupunguza bei basi anaanza ...inshort jamaa kwa kila mgeni mmoja alitengeneza si chini ya dola 100

hapo bado hatujaingia kwenye kukodisha magari ya kuwatembeza wale wageni

.....sasa ombi langu basi hizo pesa itakuwa si vibaya tukachangiwa huku JF maana mtu mmoja kuwa na na dola milioni 4 ni ISTRAF

au mnasemaje?

Wewe nawe fisadi tu.

The only reason you are speaking this way is because you did not get any of the action. You are not against ufisadi in principle, only mad because you cannot prostitute your morals, if you have any.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom