Spencer Tunick! Ana maana gani huyu mwandishi mmarekani?

jamaa umempigia bonge la promo,,,,hapo ujue unamtafutia wafuasi hata hapa tz......na wako wengi tuu wanapenda kuwa uchi ktk uhuru kama huo......huo mji uliwekewa ulinzi wa kutosha ili watu wafanye ibada zao....
 
View attachment 365636View attachment 365637tunaweza kuchukulia ni usasa usanii kipaji uvumbuzi na hata haki za binadamu lakini kitu anachofanya huyu mmarekani kina kasoro kubwa kiimani na kiimadili, sijui akija Africa itakuwaje!
Anachofanya ni rahisi sana anazunguka nchi mbalimbali duniani na kwa ruhusa pengine ya Serikali husika na kwa ushawishi wa ajabu kabisa anakusanya maelfu kwa maelfu ya wananchi na kuwaamuru kuvua nguo zote na kupiga picha za halaiki katika maumbo mbalimbali na sehemu tofauti View attachment 365638View attachment 365639Haya mambo anayafanya live mchana kweupe na naamini hatoi senti moja kwa washiriki wala hatoi zawadi, najaribu kujiuliza dunia imepatwa na nini? Hii ngozi nyeupe ni binadamu kamili kweli? Ni wakaazi wa dunia hii kweli? Au wana kwao kwenye mambo ya ajabu namna hii?
Najua kuna watakaotetea kuwa mbona enzi za ujima tulikuwa hatuvai nguo! Lakini ni enzi hizo na hiyo ni historia tujiangalie tulipo sasaView attachment 365640View attachment 365641pata picha kama atakuja Tanzania na kupata kibali cha kufanya huu ujinga wake pale coco beach. .....

Dunia imechoka sana...!!!
Inasikitisha na inaogofya kwa ulimwengu wa kiroho. Tukubalini tu tunaishi nyakati ambazo shetani anafanya kazi wazi wazi na anafanya kazi kwa kasi kuubwa sana, nyakati ambazo mawakala wa shetani wamemwagwa wengi wengi, nyakati ambazo mapepo yanawaingia watu na kuwasababishia kutenda kinyume na kawaida.
 
Hebu tuambiane uhuru wa kupashana habari unakuwaje? Naona kama tunataka kuleta mkanganyiko hapa...hizi habari za huyu jamaa mbona zipo tu tena kwa wingi na umaarufu wake mkubwa tuu ? Mimi nimtangaze ili iweje? Ameshatembelea nchi kibao na kuyafanya haya na habari zake kutangazwa kwa kina na Kuwekwa kwenye mitandao mikubwa ya kimataifa
Hivi ningeweka habari bila picha kitu ambacho ndio chanzo cha habari yenyewe ningetenda haki kweli? Tukosoe pale panapohitaji kukosolewa lakini si kwa namna hii
Labda hujanielewa mkuu sijakunyooshea wewe kidole moja kwa moja .hoja yangu ni kwa jamii nzima ambayo na wewe umo ndani yake kuacha kupromote vitu visivyofaa.publicity ni silaha kubwa sana na sivyema kuikabidhi kwa watu wanaochangia kuiharibu jamii kama huyu bwana kina kim kardashian na wengineo.Unakuta mtu analalamika kabisa diamond kafanya hichi,sjui rihanna kafanya nini.tuache kuwafuatilia hawa wapuuzi.Kuna watu wengi tu wa maana ambao hawana hata spotlight hao ndo tuwape promo
 
Ni maandalizi ya mgeni wa nyakati za mwisho mwenye jicho moja kama alivyomuonyesha mabibi na mabwana si mwingine bali ni anti christ, au masih dajjal.
 
Why so much negativity towards nakedness? kwanini mnaogopa miili yenu wenyewe!!

haina tofauti na wakati ambapo sex ilionekana kitendo cha aibu/kibaya, watu walifanya kwa ajili ya kuzaa tu, tena kwa sheria za ajabu, sijui msikae hivi.

na bado sex is still a big deal kwa watu. sembuse kukaa uchi.

I can't wait for a nudists club ianzishwe bongo. I might be the one to open it :)
 
Bahati mbaya sana, ikija hiyo tutaona na kushangaa mengi. Wengi wetu hata hatujui tunasimamia nini, whatever comes from the west is good for africa.
 
Public Nudity sio mchezo........Ila kwa pose kama hizo haijakaa erotic kihivyo...sasa sijui ishu ni skin colour..
 
yani kuna sehemu duniani Mtu akiona upaja tu kaamsha.

bora huko wanaoona upaja, kwingine ndo hata kifundo cha mguu kinaamsha vitu

the human body is so sexualised.

excuse me people, we're more than sexual objects.

NDOMANA BARA HALINA WAGUNDUZI. watu wanawaza ngono tu wakiona wenzao.
 
yani kuna sehemu duniani Mtu akiona upaja tu kaamsha.

bora huko wanaoona upaja, kwingine ndo hata kifundo cha mguu kinaamsha vitu

the human body is so sexualised.

excuse me people, we're more than sexual objects.

NDOMANA BARA HALINA WAGUNDUZI. watu wanawaza ngono tu wakiona wenzao.
ever heard of the terms,''Culture'',''Norm'' and ''Tradition''?....
Huitaji kushangaa...Utofauti wa mawazo na mtazamo usikufanye uone wengine ''hawana wagunduzi''........
Hata huko unapoamini kuna ''wagunduzi'' hawakubaliwi na jamii nzima na zaidi wanasheria nyingi tu za ''Indecent Exposure''...........
 
Back
Top Bottom