Hata mimi kuna siku niliona hicho kitu nikajisemea moyoni kwamba mbona ni rahisi sana kuibiwa kama mtu akijua kuwa una mzigo huko?Mi hawajanidhulumu, ila jamaa wapo kienyeji sana, unaweza ukamtuma mtu bila kitambulisho wala kitu chochote cha uthibitisho wakampa mzigo.
Idea si mbaya mkuu sababu inapunguza muda, nchi nyingi duniani wanafanya hivi wanakusanya mizigo yote inakuja pamoja.Naheshimu sana mawazo yako siku zote , je hapa nini kifanyike kufanya tuwatue hawa speedaf
Shida nyingine ilyopo ni coverage yao, utalazimika kusafiri ili kuwaendea na kitambulisho chako. Kobe akiinama anatunga sheria. Wakati mwingine huwa naona huruma labda bado wanachekecha akili jinsi ya kuendesha biashara yao. Huenda pia hawakufanya tathmini kabla ya kuchukua mkopo.Idea si mbaya mkuu sababu inapunguza muda, nchi nyingi duniani wanafanya hivi wanakusanya mizigo yote inakuja pamoja.
Ila hilo suala la kuwaachia wabongo mali za watu na kuendesha biashara kienyeji litawacost. Wafanye kama posta tu, mzigo unachukua na Kitambulisho na no ya simu.
Yaah posta ni tofauti mkuu…ila posta kuna baadhi ya percel utachijiwa zengne free…nahis inategemea na uzito wa mzigoMfumo wa posta ni tofauti na speedaf mkuu
Posta hata kama uliagiza nje kitu cha mia, lazima ulipie dola moja sasa hiviYaah posta ni tofauti mkuu…ila posta kuna baadhi ya percel utachijiwa zengne free…nahis inategemea na uzito wa mzigo
kwanza simuagizii mtu, nitamuelekeza aagizie mwenyewedronedrake Hapo ukute ulimuagizia mtu iwe binamu au jirani yako wewe utakausha na kuondoka mikono nyuma sawa je huyo uliyemuagizia utamkabili vipi akubali kupotezea 500K yake kirahisi hivyo?
hmm, si kweli, mara kadhaa nachukulia posta mpya na hawanichaji hata senti mojaPosta hata kama uliagiza nje kitu cha mia, lazima ulipie dola moja sasa hivi
Dah hongera sana sisi huku Arusha ni kawaida kabisahmm, si kweli, mara kadhaa nachukulia posta mpya na hawanichaji hata senti moja
Speedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla.
Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni .
Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya kutoka Uchina(nduguzetu wa damu).
Zimekuepo njia nyingi zitumikazo kusafirisha mizigo kutoka mataifa hayo (Uchina ikiwemo) kwa mda mrefu sasa .Hivi karibu kampuni ya speedaf ilifungua branch Kenya na kua mkombozi huko kwa huduma yao ya door to door delivery lakini uharaka wa mchakato mzima wa kupata mzigo wako toka siku ya manunuzi ulikua ni wa haraka na kuridhisha
Baada ya ujio wao Tanzania tulifurahi sana na kuamini kua nasi sasa tutaendana na kasi ya wenzetu kwani kampuni ile ile imeingia nchini kwetu kutoa huduma zile zile.
La hasha ,vilio vimeanza kusikika kila kona ya nchi yetu .Mizigo inatoka China vizuri, inafika mpka mkoa mhusika ulipo , maagent wanawakabidhi watu wafanye delivery kwa mteja husika ila kimbembe kinaanzia hapa .
1.Mteja hapokei simu ya wito kwa ajili ya kupokea mzigo wake .
2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery( Kum make zenu tamaa mbaya). Sasa unapoingia kwa seller kudai refund unakuta seller anaevidence inayoonesha kua mzigo umepokelewa na mhusika alieununua.
Sasa kwa hali hii kweli tutafika .Mnafanya huduma nzuri au makampuni mazuri yasije nchini kwa tamaa ndogo ndogo kabisa .
WADAU KAMA SPEEDAF HAWALETI MAREKEBISHO HARAKA,tuanzeni napema kampeni ya kufosi seller kutokutumia hawa speedaf kwani ni hasara kubwa mno tuipatayo wote mnunuzi na muuzaji. Hapa chini naweka ushahidi wa item nisioipokea ila agent uchawara kasign kua umefika na kapita nao kaenda kuhonga kwa demu wake manina
View attachment 2434527View attachment 2434883
Asee kwahiyo msipodindia mnakula za uso.Speedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.
Ile namba niliipigia zaidi ya wiki na haipatikani, nikawasiliana na muuzaji akanitumia namba ya makao makuu Tanzania ile namba hata haipokelewi.
Wakati nimekata tamaa nikaijaribu kuipigia ikapokelewa nikamuuliza kuhusu kupokea mzigo wangu akanielekeza niufuate nyumbani kwake na ni nje kidogo ya mji. Kiukweli alinikera huyo jamaa na hapo nyumbani kwake alikuwa na mizigo mingi ya watu wengine.
DuhWameshaanza uhuni siku hizi kwa baadhi ya mikoa ili uchukue mzigo lazima upite TRA
Ukifika TRA unadondoshewa rungu la "IMPORTATION FEES" asilimia 18!.
Mkuu, huyo agent aliwezaje kuingia kwenye account yako na kuthibitisha kama umepokea mzigo wako?Speedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.
Ile namba niliipigia zaidi ya wiki na haipatikani, nikawasiliana na muuzaji akanitumia namba ya makao makuu Tanzania ile namba hata haipokelewi.
Wakati nimekata tamaa nikaijaribu kuipigia ikapokelewa nikamuuliza kuhusu kupokea mzigo wangu akanielekeza niufuate nyumbani kwake na ni nje kidogo ya mji. Kiukweli alinikera huyo jamaa na hapo nyumbani kwake alikuwa na mizigo mingi ya watu wengine.
Ukipokea mzigo kuna document huwa una sign, zile taarifa ulizojaz na uka sign ndiyo wanazotumia kujaza kwenye tracking system baada ya hapo kule AliExpress itaonyesha mzigo umefika na umepokelewa na jina la alieupokea linakuwepoMkuu, huyo agent aliwezaje kuingia kwenye account yako na kuthibitisha kama umepokea mzigo wako?
Hapa Bado sijaelewa.
Speedaf unaweka signature juu ya mzigo husika kama inavyoonekana pichani then wanapiga picha ndio imeisha hiyoUkipokea mzigo kuna document huwa una sign, zile taarifa ulizojaz na uka sign ndiyo wanazotumia kujaza kwenye tracking system baada ya hapo kule AliExpress itaonyesha mzigo umefika na umepokelewa na jina la alieupokea linakuwepo
Ni ulofa wa hali ya juuSpeedaf unaweka signature juu ya mzigo husika then wanapiga picha ndio imeisha hiyo
Hapo kusainiwa ni Dakika 00 na ukizubaa unalizwa kianaView attachment 2439204Ni ulofa wa hali ya juu
Tupe darasa jinsi ya kuwatumia hawaUnique Air Cargo ndio mashivo a.k.a Ma Master wa hizi mambo za Usafiri.
Hawajawahi kuniangusha na ni watu serious sana