dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,209
- 54,786
nimejibu comment #18Swali ni kuwa utafanyaje?
nimejibu comment #18Swali ni kuwa utafanyaje?
Hutadai refund - sawa ingawa bado jibu linaelea mkuu. Ni kama unasema una option nyingine ila sio kudai refund, ndio jamaa anauliza option ni ipi? Na mimi nikaongeza kwamba utanyamaza?nimejibu comment #18
nitafatilia upande wa courier , nikiona mizunguko ni mingi na inakula mda, nakausha nahesabia hasara, siwezi msumbua seller kudai refund najua hahusiki hapakwamba utanyamaza?
nitafatilia upande wa courier , nikiona mizunguko ni mingi na inakula mda, nakausha nahesabia hasara, siwezi msumbua seller kudai refund najua hahusiki hapa
"Sajo sogea Hapa Kigogo Mwembe jando uchukue Parcel yako Chap" hapo unatumiwa huo ujumbe wakati tayari jamaa yupo eneo husika badala ya kukutumia ujumbe kabla kwamba muda f'lan atakuwa maeneo hayo ili upate kujiandaa.Sure, mzigo unatoka China kwa spidi ya ajabu, siku 7 tu upo Dar, halafu sasa hao speedaf wa bongo ndio wanauchukua na kukaa nao zaidi ya siku 7 hauoni movement yoyote ya mzigo, siku wakikutaarifu kwenda kuchukua wanatuma text tu hawataki kupokea simu, wanaweka location za ajabu ajabu..yaani miyeyusho. Kama wameanza na hili la kusign mizigo ya wateja basi wanazidi kuharibu.
Hapo ukute ulimuagizi mtu iwe binamu au jirani yako wewe utakausha na kuondoka mikono nyuma sawa je huyo uliyemuagizia utamkabili vipi akubali kupotezea 500K yake kirahisi hivyo?
Utawakwepaje ndugu sasa?Na ndio mana sishauri sana mtu kumuagizia mtu bidhaa ,kwa utaratibu huu kuitwa tapeli hakuepukiki
Ni kweli ila speedaf maisha yake bongo ni mafupi tu kama period ya mwananmkeUtawakwepaje ndugu sasa?
Mfano umetembelewa na kaka,dada,shemeji au binamu akavutiwa na Anker Sound core au Mi Tv yako akataka naye kama hiyo si utaonekano roho mbaya tu!!
Binafsi sijakumbana na dhahama zao pakubwa maana parcel zangu zote nilizoagiza black friday zimepewa tracking za Singapore post so nitakutana nazo kwa wazalendo wa Posta .Ni kweli ila speedaf maisha yake bongo ni mafupi tu kama period ya mwananmke
Ngumu kumezadronedrake Hapo ukute ulimuagizia mtu iwe binamu au jirani yako wewe utakausha na kuondoka mikono nyuma sawa je huyo uliyemuagizia utamkabili vipi akubali kupotezea 500K yake kirahisi hivyo?
Kikuu iliyochangamkaKALYNDA wamekuja kivingine hawa ngoja wasepe na Kijiji tuanze kuomboleza.
Sijui kwanini Tz hatupo serious kama Kenya yaani Ishu za maana kama hizo wanawapa wauni wa boda boda?
hivi hawa speedaf si ndio wale KIKUKUU au nakosea
Binafsi sijakumbana na dhahama zao pakubwa maana parcel zangu zote nilizoagiza black friday zimepewa tracking za Singapore post so nitakutana nazo kwa wazalendo wa Posta .
parcel pekee zilizopitia kwa Speedaf ni zile super economy shipping so hazina mbambamba kivile
Mfumo wa posta ni tofauti na speedaf mkuuMkuu hv ku confirm kama mzigo umeupokea Au bado si mpaka uingie kwenye account yako….sasa hao speed wanawezaje kufanya hvyo ili hali hawana access na account yko…
mi huwa nanunua bidhaa ndogondogo Mara nyingi napokeaga kupitia posta…mara chache sana napokea kupitia kikuku
Kuna tofauti kati ya kusaini kwamba umepokea mzigo na kuconfirm kwamba umepokea. Kusaini hakuhitaji logins ila kuconfirm lazima account yako ihusike kupitia wewe.Mkuu hv ku confirm kama mzigo umeupokea Au bado si mpaka uingie kwenye account yako….sasa hao speed wanawezaje kufanya hvyo ili hali hawana access na account yko…
mi huwa nanunua bidhaa ndogondogo Mara nyingi napokeaga kupitia posta…mara chache sana napokea kupitia kikuku
Mi hawajanidhulumu, ila jamaa wapo kienyeji sana, unaweza ukamtuma mtu bila kitambulisho wala kitu chochote cha uthibitisho wakampa mzigo.