Speed ya Sauli bus: Mabasi yanayokimbia sana hayana vidhibiti mwendo?

Sitakwambia chochote lkn kuna basi la from Mwz-Dar nilishapanda miezi 2 iliyopita lilikua linatembea mpk 95-100km/h na nilijua hivyo sababu nina app kwny simu yangu ambayo inaonyesha mahali tochi za barabarani zilipo na hua inaonyesha speed ninayotumia(nikiwa na private car).
Inasemekana ila sina uhakika(nachukulia kama tetesi), kuna dereva aliniambia kwamba vigamuzi vimesitishwa, wenye mabasi walifungua shauli kuwa vigamuzi vinal
eta shot kwenye mabasi yao, hasa vikipiga kelele kwa muda mrefu vinaheat mwishoe vinaungua. Sina uhakika ila ndio nimesikia hivyo ndio maan siku hizi mabasi yanakimbia sana na kufika mapema.
 
Acha uongo mzee,hiyo Sauli ulikuwa unaifata na gar gan,? Usije fananisha speed 50 ya Basi na gari ndogo,,kwasababu gar. Kubwa inamzunguko mkubwa wa tair vivyo hivyo speed 50 ya Basi kutokana na ukubwa wa tair we mwenye gar ndogo unaweza fika speed 60+ili uwe naye mwendo sawa!!,akiwa speed 85 km/h, ww unaweza jikuta unatembea 105+,ko usiaminishe watu uongo aisee

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app

Sio kweli
 
Back
Top Bottom