Speed limits zimezidi kwenye highways

kluger

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
2,093
1,894
Salaam kwenu,

Najiuliza sana hivi ni haki sehemu ya KM 35 kuwa na speed limit points Kama 10+???

Kwa nini mnaruhusu viijiji na centres karibu na highways??

Je mnafahamu highways ni njia muhimu sana katika shughuli za uchumi kuliko hivyo viijiji vya wauza mkaa??? Yaani kijiji kipo barabarani shughuli yao kuu kukata na kuuza mikaa, na barabara inapitisha mafuta Kwa ajili ya nishati mbalimbali vile vile abiria /wataalamu mbalimbali toka sehemu moja kwenda nyingine.

Si pingi wengine kuishi katika vijiji hivyo, la hasha, point yangu Je umuhimu wa highways na kuzilinda serikali hii inatilia mkazo?? Au ndiyo kitega uchumi cha Polisi??

Kwa nini vijiji hivyo katika highways nyingi wanakata miti na kugeuza nchi jangwa na nyingi mawaziri na viongozi mbalimbali ndiyo wateja wakuu wa mikaa tena Kwa kutumia mashangingi ya serikali hiyo hiyo mnaojidai kulinda misitu yetu??

Umbali wa kutumia masaa manne, sasa tunatumia masaa saba, sababu zikiwa hizi speed limits. Tunaendesha magari Kwa taabu kila mahali speed limit, hao maaskari kila kuukicha akili zao zipo barabarani, kazi kujificha vichakani ili watukamate Kwa kuvizia, hv nani kawaambia mkizuia speeds ndiyo kuzuia ajali?? Mbona pamoja na kujaza hayo matochi yenu bado ajali ni nyingi?? Hamuoni kuwa sasa ni wakati wa kufikiri nje ya box na kupata mbinu mpya kudhibiti hizi ajali bila kujaza hayo ma speed limit???
Je nyinyi askari ni kweli mnania ya kupunguza ajali Au ni chanzo chenu kikuu cha mapato??

Kwa kweli jambo hili linanikera sana, kila kitu nchi hii ni business as usual.

Kama speeds na mikusanyiko ya watu ndiyo chanzo cha ajali, basi barabara zote za mijini ziwe na speed limits. Mfano kuanzia kurasini Mandela Road yote mpka ubungo speed iwe ni 50 na mkae na hizo tochi zenu.
91592d6a3be9394aadf9114716ca3203.jpg
 
Hata bila vibao. Miji yote midogo ni 30 hadi 50.
Hukuambiwa ulipojifunza udereva?
 
Salaam kwenu,

Najiuliza sana hivi ni haki sehemu ya KM 35 kuwa na speed limit points Kama 10+???

Kwa nini mnaruhusu viijiji na centres karibu na highways??

Je mnafahamu highways ni njia muhimu sana katika shughuli za uchumi kuliko hivyo viijiji vya wauza mkaa??? Yaani kijiji kipo barabarani shughuli yao kuu kukata na kuuza mikaa, na barabara inapitisha mafuta Kwa ajili ya nishati mbalimbali vile vile abiria /wataalamu mbalimbali toka sehemu moja kwenda nyingine.

Si pingi wengine kuishi katika vijiji hivyo, la hasha, point yangu Je umuhimu wa highways na kuzilinda serikali hii inatilia mkazo?? Au ndiyo kitega uchumi cha Polisi??

Kwa nini vijiji hivyo katika highways nyingi wanakata miti na kugeuza nchi jangwa na nyingi mawaziri na viongozi mbalimbali ndiyo wateja wakuu wa mikaa tena Kwa kutumia mashangingi ya serikali hiyo hiyo mnaojidai kulinda misitu yetu??

Umbali wa kutumia masaa manne, sasa tunatumia masaa saba, sababu zikiwa hizi speed limits. Tunaendesha magari Kwa taabu kila mahali speed limit, hao maaskari kila kuukicha akili zao zipo barabarani, kazi kujificha vichakani ili watukamate Kwa kuvizia, hv nani kawaambia mkizuia speeds ndiyo kuzuia ajali?? Mbona pamoja na kujaza hayo matochi yenu bado ajali ni nyingi?? Hamuoni kuwa sasa ni wakati wa kufikiri nje ya box na kupata mbinu mpya kudhibiti hizi ajali bila kujaza hayo ma speed limit???
Je nyinyi askari ni kweli mnania ya kupunguza ajali Au ni chanzo chenu kikuu cha mapato??

Kwa kweli jambo hili linanikera sana, kila kitu nchi hii ni business as usual.

Kama speeds na mikusanyiko ya watu ndiyo chanzo cha ajali, basi barabara zote za mijini ziwe na speed limits. Mfano kuanzia kurasini Mandela Road yote mpka ubungo speed iwe ni 50 na mkae na hizo tochi zenu.
91592d6a3be9394aadf9114716ca3203.jpg
Acha ubinafsi. Hata wakata mkaa wana haki ya kuuza mkaa wao barabarani. Zingatia sheria fuata mwendo elekezi.
 
Salaam kwenu,

Najiuliza sana hivi ni haki sehemu ya KM 35 kuwa na speed limit points Kama 10+???

Kwa nini mnaruhusu viijiji na centres karibu na highways??

Je mnafahamu highways ni njia muhimu sana katika shughuli za uchumi kuliko hivyo viijiji vya wauza mkaa??? Yaani kijiji kipo barabarani shughuli yao kuu kukata na kuuza mikaa, na barabara inapitisha mafuta Kwa ajili ya nishati mbalimbali vile vile abiria /wataalamu mbalimbali toka sehemu moja kwenda nyingine.

Si pingi wengine kuishi katika vijiji hivyo, la hasha, point yangu Je umuhimu wa highways na kuzilinda serikali hii inatilia mkazo?? Au ndiyo kitega uchumi cha Polisi??

Kwa nini vijiji hivyo katika highways nyingi wanakata miti na kugeuza nchi jangwa na nyingi mawaziri na viongozi mbalimbali ndiyo wateja wakuu wa mikaa tena Kwa kutumia mashangingi ya serikali hiyo hiyo mnaojidai kulinda misitu yetu??

Umbali wa kutumia masaa manne, sasa tunatumia masaa saba, sababu zikiwa hizi speed limits. Tunaendesha magari Kwa taabu kila mahali speed limit, hao maaskari kila kuukicha akili zao zipo barabarani, kazi kujificha vichakani ili watukamate Kwa kuvizia, hv nani kawaambia mkizuia speeds ndiyo kuzuia ajali?? Mbona pamoja na kujaza hayo matochi yenu bado ajali ni nyingi?? Hamuoni kuwa sasa ni wakati wa kufikiri nje ya box na kupata mbinu mpya kudhibiti hizi ajali bila kujaza hayo ma speed limit???
Je nyinyi askari ni kweli mnania ya kupunguza ajali Au ni chanzo chenu kikuu cha mapato??

Kwa kweli jambo hili linanikera sana, kila kitu nchi hii ni business as usual.

Kama speeds na mikusanyiko ya watu ndiyo chanzo cha ajali, basi barabara zote za mijini ziwe na speed limits. Mfano kuanzia kurasini Mandela Road yote mpka ubungo speed iwe ni 50 na mkae na hizo tochi zenu.
91592d6a3be9394aadf9114716ca3203.jpg


Tanzania hakuna Highway, na speed limit kwenye barabara za Tz ni 80 km/saa!
 
Sasa unategemea watu wakale wapi mkuu

Nchi hii speed 100kph mtu anakuona kama unapaa angani.......nchi ambayo askari anajificha porini akutwange speed radar.....
Sheria za barabarani nchii hii zinakutu kila sehemu
 
Mkuu kuna siku nilikuwa na naongea na mtu wangu akaniambia kuna nchi alienda milango ya duka na nyumba hairuhusiwi kutizama barabara. Kwa maana hiyo streets zipo nyuma ya nyumba zinatotizama barabara. Nimeisahau hii nchi.

Lakini pia kumbuka kwamba watanzania wengi hufuata barabara. Labda ni kwa sababu ya audimu wa barabara ya lami. Tunapoelekea ni kwamba watu wanapozidi kujenga karibu na barabara basi speed limit itazidi kupunguzwa.

Lakini pia huu ni udhaifu wa wenyeviti wa mtaa. Aidha hawajapewa uwezo au wengi wao hawana vision ya kupanga vijiji vyao kwa minaajili ya mawazo mapana ya watumiaji wengine wa barabara.
 
Tanzania hakuna Highway, na speed limit kwenye barabara za Tz ni 80 km/saa!
Umefafanua vizuri, next time ukishasahihisha makosa jifunze kujibu au ku tatua issue aliyotaka kuzungumzia mtoa hoja. Kuishia njiani namna hii kukosoa na kubisha bisha biila kujikita kwny issue yenyewe ni tabia za kitanzania zaidi
 
Kazi mojawapo ni kuwakamata wahalifu na ili kufanikisha hilo wanatumia mbinu mbalimbali ikiwemo kujificha, ili usikamatwe tii sheria bila shuruti .Duniani hakuna polisi ambaye hakamati.
 
Mkuu kuna siku nilikuwa na naongea na mtu wangu akaniambia kuna nchi alienda milango ya duka na nyumba hairuhusiwi kutizama barabara. Kwa maana hiyo streets zipo nyuma ya nyumba zinatotizama barabara. Nimeisahau hii nchi.

Lakini pia kumbuka kwamba watanzania wengi hufuata barabara. Labda ni kwa sababu ya audimu wa barabara ya lami. Tunapoelekea ni kwamba watu wanapozidi kujenga karibu na barabara basi speed limit itazidi kupunguzwa.

Lakini pia huu ni udhaifu wa wenyeviti wa mtaa. Aidha hawajapewa uwezo au wengi wao hawana vision ya kupanga vijiji vyao kwa minaajili ya mawazo mapana ya watumiaji wengine wa barabara.
Baada ya road reserve si watu wanaruhusiwa kuishi na kufanya shughuli mbalimbali?
 
Back
Top Bottom