JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,034
Katika harakati na pita pita na majadiliano katika forum flani ya US/UK nikakukana na hili
[/quote]
Asilimia kubwa sana ya nchi zilizo endelea wana 100mbps/50mbps download/upload ambayo ni 100$ kwa mwezi unlimited bandwidth, nikakumbuka nyumbani, ISP wetu wanatupa speed max 6mbps/2mbps. Kwa kuangalia tu mabadiliko ya speed ya Internet yetu ni dhahiri kabisa 100mbps hatutaifikia kwa miaka 30+ ijayo.
Asilimia kubwa sana ya nchi zilizo endelea wana 100mbps/50mbps download/upload ambayo ni 100$ kwa mwezi unlimited bandwidth, nikakumbuka nyumbani, ISP wetu wanatupa speed max 6mbps/2mbps. Kwa kuangalia tu mabadiliko ya speed ya Internet yetu ni dhahiri kabisa 100mbps hatutaifikia kwa miaka 30+ ijayo.