Kumekuwa na tabia ya viongozi wetu kutoa speech za kiswahili panapokuwa na mgeni toka nchi au taasisi za kimataifa kama IMF, UN, World Bank bila ya hata kuwepo kwa vifaa vya kutafsiri au wakalimani. Natambua kuwa viongozi wetu wanajaribu kuonyesha umuhimu wa lugha ya taifa ila wanasahau kuwa wageni wetu pia wanapenda kuelewa speech wanazoongea. Sidhani kama JK au kiongozi mwingine wa serikali, atafurahi akienda China, akasikia wanaongea Kichina tupu kwenye speech ya kumkaribisha, bila vifaa vya kutafsiri au mkalimani.
1. Mama Kikwete alikuwa alitoa speech ya kumkaribisha Mama Laura Bush (first lady wa US), kwa kiswahili, bila mkalimani wala kifaa chochote cha kunyambua anayoongea. Mama wa watu, akabakia kujichekesha, bila kujua anatukanwa au la.
2. Said Mwema jana alikuwa anatoa speech ya kumshukuru Mwakilishi wa UNHCR kwa kiswahili, the same bila mkalimani wa kifaa chochote.
Kifupi ni kuwa, hata kama wapambe / wenyeji wa wageni hawa watamtafsiria baada ya speech, sidhani kama itakuwa ina-make any sense as muda muhimu wa kuilewa speech, ni wakati inatolewa. Wenzio wanacheka, nawe unacheka, wenzio wanahuzunika, nawe unacheka, la sivyo hukawii kubehave differently.
To me, naona haijatulia, labda wadau nipate maoni yenu.
Maoni Pllllzzzzzzzzzzzzzzzz...!!
1. Mama Kikwete alikuwa alitoa speech ya kumkaribisha Mama Laura Bush (first lady wa US), kwa kiswahili, bila mkalimani wala kifaa chochote cha kunyambua anayoongea. Mama wa watu, akabakia kujichekesha, bila kujua anatukanwa au la.
2. Said Mwema jana alikuwa anatoa speech ya kumshukuru Mwakilishi wa UNHCR kwa kiswahili, the same bila mkalimani wa kifaa chochote.
Kifupi ni kuwa, hata kama wapambe / wenyeji wa wageni hawa watamtafsiria baada ya speech, sidhani kama itakuwa ina-make any sense as muda muhimu wa kuilewa speech, ni wakati inatolewa. Wenzio wanacheka, nawe unacheka, wenzio wanahuzunika, nawe unacheka, la sivyo hukawii kubehave differently.
To me, naona haijatulia, labda wadau nipate maoni yenu.
Maoni Pllllzzzzzzzzzzzzzzzz...!!