kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 867
Habar wakuu,
Nlijaribu kufkiria juu ya hotuba za hawa wakuu nkaona hakuna la maana bali kuzitetea nafasi zao tu.
Kimsingi kiongozi anapofikia hatua ya kutafuta recognition kupitia press conference ni failure kiuongozi.
Hapakuwa na ulazima wa wao kuanza kututangazia nini kinaendelea huko kwny mifumo yao, hapa walitaka kumuaminisha mteuzi kuwa mambo kutokwenda kwnye maeneo yao ni watu wengine kujaribu kukwamisha movements zao.
Ukiwa senior leader unapaswa kuwa strategic thinker, uwe na uwezo wa kuface challenge na kuongoza gurudumu kwa kila linalokuhusu.
Hizi habari za kuanza kulialia kutaka kutambuliwa kinyadhfa ni mihemko tu wala hakuna mantinki yoyote kiuongozi.
Good morning
Nlijaribu kufkiria juu ya hotuba za hawa wakuu nkaona hakuna la maana bali kuzitetea nafasi zao tu.
Kimsingi kiongozi anapofikia hatua ya kutafuta recognition kupitia press conference ni failure kiuongozi.
Hapakuwa na ulazima wa wao kuanza kututangazia nini kinaendelea huko kwny mifumo yao, hapa walitaka kumuaminisha mteuzi kuwa mambo kutokwenda kwnye maeneo yao ni watu wengine kujaribu kukwamisha movements zao.
Ukiwa senior leader unapaswa kuwa strategic thinker, uwe na uwezo wa kuface challenge na kuongoza gurudumu kwa kila linalokuhusu.
Hizi habari za kuanza kulialia kutaka kutambuliwa kinyadhfa ni mihemko tu wala hakuna mantinki yoyote kiuongozi.
Good morning