Melancholy I feel!
<br />In Which country all this had happened ??
Jamani hukuweza kusoma mwanzo wa post. Kumbe ulikuwa na haraka gani? Inajilieza kwa ufasaha kabisa! Jimbo na nchi. Unapandia treni kichwani?
Dah very very Sad,
Tuombe Mungu hawa majanga yasitokee huku kwetu, maana hizi Shida tulizonazo zinatutosha. Mgawo wa Umeme, Ufisadi, Kuibiwa Madini yetu, Kuporomoka kwa Shilingi yetu. to mention