Specifications za Tigo Kitochi 4G

Shombe la Kisomali, Button zote mkuu ni kama hio ya Voda. Nokia 8110 G aka banana phone

nokia-8110-4g-1.jpg


Nokia 2720 flip

nokia-2720f-01.jpg


Nokia 800 tough

nokia-800t-1.jpg
 
Nimenunua ya voda, kwanza ni 3G na sio 4G
Imetengenezwa na kampuni inaitwa AZUMi na model ni L3K
Unatumia mfumo endeshi wa KaiOS kama simu za nokia feature phones mfano banana phone na zingine

Inatumia chip ya mediatek, sikumbuki vizuri ila ni 65xx

Basically ni simu ya tochi usitegemee chochote cha ajabu

Ina whatsapp na social network apps ambazo unaweza kuinstall na ku uninstall kutoka app store yao.

Kitu nilichopenda ni uwezo wa ku sync contacts kutoka google na Live

Spidi ni ya simu ya tochi

Hitimisho, inaenda sawa na gharama unayolipia, by the way, voda walinipa bando 4Gb, dakika nyingiii na sms kibao

Nadhani ya tigo nayo ni kutoka azumi ila ni version ya 3G
IMG-20191105-WA0030.jpeg
IMG-20191105-WA0029.jpeg
IMG-20191105-WA0028.jpeg
IMG-20191105-WA0027.jpeg
IMG-20191105-WA0026.jpeg
IMG-20191105-WA0024.jpeg
 
Back
Top Bottom