⭕️پوتین پیشنهاد راه‌اندازی یک سیستم پرداخت بین‌المللی مبتنی بر ارزهای دیجیتال را ارائه کرد

🔰 ولادیمیر پوتین، رئیس‌جمهور روسیه، اخیراً در جریان یک کنفرانس با موضوع هوش مصنوعی در شهر مسکو، در سخنرانی خود پیشنهاد راه‌‌اندازی یک سیستم مالی «مستقل از دخالت‌های خارجی» بر پایه فناوری بلاک چین و ارزهای دیجیتال را ارائه کرده است. او تأکید کرده است که این سیستم باید کاملاً امن، مستقل از بانک‌ها و بدون مداخله کشورهای ثالث باشد.

⭕️Putin proposed to launch an international payment system based on digital currencies

🔰 Russian President Vladimir Putin recently proposed to launch a financial system "independent of foreign interference" based on blockchain technology and digital currencies in his speech during a conference on artificial intelligence in Moscow. He has emphasized that this system should be completely safe, independent of banks and without the intervention of third countries.


🆔بروکر جهانی ZTE-Forex
👏👏👏👏👏🤝🤝🤝🇷🇺
Hii kitu itakua poa sana.
Urusi inapigana maslahi ya Dunia nzima,wakati USA inapigania maslahi yake
Lkn wapo pro USA wanaiona USA Iko sawa.
 
Wamarekani wanataka pesa zao
Screenshot_20221210-125252~2.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyie supa power wa mchongo bado manapiga kelele humu ndani?

Ka nchi ka Ukraine kamewatoa kamasi hivi hamjui cha kufanya hata mnashangilia kurudisha kijiji kimoja?😂😂

Siku mkiuvagaa muziki wa Nato kweli siku 2 mtafikisha nyie?.

Any way hii vita wa kuimaliza ni US mpaka sasa aidha aamue kumpiga biti Zele astop au asitishe misaada.

Nyie mmeshindwa kabisa mana mmeshashambulia uwezo wote mmeshindwa kumaliza vita na ka nchi kadogo mmebaki njia panda kwenda manataka kurudi mnaona aibu.😂
 
Russian Uranium Supplies to the US Increase

The US took $732m of Russian goods in October - including uranium and palladium - the most in 5 months.

US data shows nuclear fuel, mineral fertilizers and platinum group metals - all unaffected by sanctions - made up the consignments as importers seek to exploit trade opportunities to their maximum. (VAVT)

Subscribe to RT
Western governments zote ni ongo na nafiki,huwezi kuziamini in anything they say.Baada ya uongo wa the Minsk Accord,their trust has dropped down to zero,they are simply not trustworthy.This proves what we have always believed in,they are controlled by Lucifer
.
 
Hapo ni sawa useme Toyota Harrier na Land Cruiser LC 200 (V8) hazina utofauti sana kisa zote ni SUV.

Unachokisema kuhusu ubora wa rubani ni sawa kabisa ndio maana Marekani marubani wake wana average flight hours kubwa duniani. Huwa nasema ndege ni kama gari, ukimchukua dereva wa daladala ukashika Nissan Civilian naye akashika hiyo mkashindana atakupoteza vibaya mno. Ndege inahitaji mafunzo na uzoefu mkubwa. Hivyo hoja ya mafunzo tunaipiga chini kwa kuwa huwezi nitajia nchi yenye mafunzo ya marubani kuizidi Marekani, labda ifuatiwe na Israel.

Mafunzo ya rubani yanahusisha na simulators. Microsoft ndio mabingwa wa kutengeneza flight simulators, bado kuna makampuni mengi Marekani pale. Simulation inakuwa kila kitu sawa na ndege: mitikisiko, mizunguko, kelele, cockpit, G force na kila kitu sawa na ndege. Marubani wanakaa sana kwenye latest generation simulators na bado wanakuwa na flight hours nyingi zaidi. Sasa njoo kwetu sisi, simulators naamini hatuna na bado jet zetu zikiruka huwa najiuliza kuna nini tena. Mimi ni plane spotter, nishagundua F-6 zikiruka mara nyingine kunakuwa na tukio la kiserikali. Mara ya mwisho jet zetu zinaruka hapa Dar es Salaam ni siku mbili kabla Jenerali Mabeyo hajastaafu. Hazijaruka tena

Kufundisha rubani ni muda na gharama. Airframe inachoka kadri inavyoendeshwa. Bado kuna operation cost nyingine kama mafuta na malipo ya training.

Muulize Captain akupe best performing fighters. Akupe kill to loss ratio, mfano nakupa ya F-15 Eagle ni 104 to 0. Imeua ndege 104 kwenye aerial battles na haijawahi dondoshwa na ndege ya adui. Hapo ni kwa sababu Marekani ana kila kitu kinachohitajika. Mambo ni mengi sana hatutayamaliza kuandika.

Uwezo binafsi wa ndege ni muhimu sana. Mfano Chinese J-10D ni 4th generation ya kawaida kwa superpowers, ukiikutanisha na hizi Chinese F-6 zetu ni kwamba J-10D inakuona ukiwa zaidi ya kilomita 100 angani na AESA radar yake. Huwezi iona kabla, inaweza engage zaidi ya ndege 6 wakati mmoja wakati hizi F-6 sina uhakika kama kwanza zina uwezo wa beyond visual range (BVR). J-10D moja ikiwa packed to the teeth inaweza poteza F-6 sita zikiwa hazijui kama kuna adui. Kwanza hazina missile warning system, zina PESA radar, hazina shoot and forget, zina radar cross section kubwa.

Dunia inaelekea kuachana na dogfights ambazo ndio hutegemea zaidi uwezo mkubwa wa rubani. Niko na Shenyang J-16 ya Mchina ina PL-15 long range air to air missile uniletee ujinga wakati kombora langu linaweza piga ndege iko hata kilomita 180. Niko na Dassault Rafale ya Mfaransa ikiwa na MBDA Meteor inaweza kukupiga kilomita 150 sasa yanini nikusogelee tutumie cannon kupimana nguvu. Na bado long range missiles zikifeli kuna range za 60km au 30km
F 15 Ni mbabe dhidi ya ndegevita dhaifu kabisa za kizazi Cha tatu wakati yenyewe Ni advanced fourh generation air superiority fighter jet.
Katika ndege 104 ilizokutana nazo si ajabu mig 21 na mig 21 zikachukua asilimia 85-90 . F 15 imekutana pia na forth gen fighter Kama mig 29 A za Iraq na mig 25 pia za Iraq ambazo zote ziko chini kiubora katika ishu ya Rada, na pia avionics nk.
 
Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Marekani,Blinken Amuandikia Barua Mbwa Mtegua Mabomu Wa Ukraine,Patron🤔
...
Secretary of State Anthony Blinken sent a personal letter to Patron the dog. His reaction:

"It’s so lovely! Today we received the letter from Secretary Blinken. That was so unexpected! And the first time, I received a letter from the United States and from a government official (so maybe next year I’ll not react like this). Thank you, US Ambassador in Kyiv for sending this to me."
FB_IMG_1670673597629.jpg
FB_IMG_1670673601337.jpg
 
F 15 Ni mbabe dhidi ya ndegevita dhaifu kabisa za kizazi Cha tatu wakati yenyewe Ni advanced fourh generation air superiority fighter jet.
Katika ndege 104 ilizokutana nazo si ajabu mig 21 na mig 21 zikachukua asilimia 85-90 . F 15 imekutana pia na forth gen fighter Kama mig 29 A za Iraq na mig 25 pia za Iraq ambazo zote ziko chini kiubora katika ishu ya Rada, na pia avionics nk.
Hapo umemuongezea maelezo aliyesema ubora wa rubani ndio unaamua ila sio ndege.

Sasa tuletee ndege ya Mrusi yenye rekodi nzuri ya air to air engagement hata kwa historia. Vita ya Ukraine hii aerial battles ni kama hamna.

Hata tukienda kwa ndege sawa sawa. Iran ilikuwa na F-14 Tomcat na F-5 Phantom za Marekani na Iraq ikawa na ndege za Mrusi wakapigana ile miaka nane tafuta rekodi za ndege hizo.

Tukija kwenye vita ya Israel na Egypt ya mwaka 1970. Marubani wa Israel wakiwa na Mirage za Mfaransa na Phantom za Mmarekani walidungua ndege tano za Wasovieti zikiwa na marubani wao wenyewe na command wakipata kutoka jeshi lao. Operation Rimon 20 - Wikipedia

Tukienda kwenye Korean war. Marubani wa Marekani walipigana na marubani wa Soviet na Wachina na walitumia ndege za generation moja. Tafuta rekodi ya performance zao.

Tafuta engagement ya Soviet/Russian made aircraft dhidi ya opponent wa upande mwingine na ndege ziwe class moja na generation moja uone rekodi zinambeba nani
 
Hapo umemuongezea maelezo aliyesema ubora wa rubani ndio unaamua ila sio ndege.

Sasa tuletee ndege ya Mrusi yenye rekodi nzuri ya air to air engagement hata kwa historia. Vita ya Ukraine hii aerial battles ni kama hamna.

Hata tukienda kwa ndege sawa sawa. Iran ilikuwa na F-14 Tomcat na F-5 Phantom za Marekani na Iraq ikawa na ndege za Mrusi wakapigana ile miaka nane tafuta rekodi za ndege hizo.

Tukija kwenye vita ya Israel na Egypt ya mwaka 1970. Marubani wa Israel wakiwa na Mirage za Mfaransa na Phantom za Mmarekani walidungua ndege tano za Wasovieti zikiwa na marubani wao wenyewe na command wakipata kutoka jeshi lao. Operation Rimon 20 - Wikipedia

Tukienda kwenye Korean war. Marubani wa Marekani walipigana na marubani wa Soviet na Wachina na walitumia ndege za generation moja. Tafuta rekodi ya performance zao.

Tafuta engagement ya Soviet/Russian made aircraft dhidi ya opponent wa upande mwingine na ndege ziwe class moja na generation moja uone rekodi zinambeba nani
Mig 21 Ina rekodi Kali Sana 250+ dhidi ya be killed 64 hivi .
Ingia Google .
 
US imeipa kibali Ukraine kushambulia ndani ya ardhi ya Russia.... Ingawa imesema haitaisaidia silaha za kushambulia ndani ya Russia. Lkn imesema Ukraine wanayo haki ya kuishambulia ndani ya Russia
 
Hivi nyie supa power wa mchongo bado manapiga kelele humu ndani?

Ka nchi ka Ukraine kamewatoa kamasi hivi hamjui cha kufanya hata mnashangilia kurudisha kijiji kimoja?😂😂

Siku mkiuvagaa muziki wa Nato kweli siku 2 mtafikisha nyie?.

Any way hii vita wa kuimaliza ni US mpaka sasa aidha aamue kumpiga biti Zele astop au asitishe misaada.

Nyie mmeshindwa kabisa mana mmeshashambulia uwezo wote mmeshindwa kumaliza vita na ka nchi kadogo mmebaki njia panda kwenda manataka kurudi mnaona aibu.😂
Maelezo yako yanajichanganya...Mara useme Russia inapambana na kanchi kadogo, Ukraine...Mara useme hako kanchi kanapata misaada na NATO..Mara ulete USA....tulia Ndugu...Vita hii bado...hao NATO na USA wanaiogopa Russia na wanaiona ni Superpower .ila wewe wa Kinyerezi unayewakimbia hata panya road unaiona Russia ni super power wa mchongo..
 
Back
Top Bottom