mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,648
Zelensk kaamua kuwatoa ndugu zake kafara huko SEVERODONESK
Kenya Coco reborn awape chakula.Kweli wasipeleke Kenya
Shida Putin haambiwi ukweli na makamanda wake kwa sabbau wanajua wakimwambia ukweli anawafukuza,anawatesa nk .This week amewatumua majener.ali wake 5
Nimesahau jina wa aliokuwa kiongozi KGB mwengine ambaye na anatazamiwa kumrithi Putin na yeye ni noma sana sio kitoto endapo Putin atatoka madarakani kwa kumaliza mda wake au kwa namna yoyote basi jueni kuwa khna mwamba mwengine wa KGB nyuma yakeHalafu ndo watafurahi pitin akifa.
Akifa Putin Kuna watu watata sana Russia Putin Mtakatifu.
Malengo gani ,nitajie nchi duniani iliyopogana kuchukua eneo au kubadilisha mipaka ya nchi hata wakati wa ukoloni walishidwa ikabidi iwepo treaty Russia anapotrza tu nguvu zake kwa jina la operationHatakiwi kuonewa Huruma
Mwache atimize malengo yake hata kwa gharama ya kurudi kwenye uchumi wake wa 1990
Let The world know the colours za hawa wazungu through hii vita.
Ukweli ni kuwa amepogana vita na mtu ambaye hana hata jeshi wala silaa na ajaweza ku achieve anything for more than 100 daysHaya tuambie wewe ukweli dada ulionao. Nini kinaendelea pale Ukraine?
Israel alichukua sinai. America alichukua majimbo ya Mexico. Russia sliced finish.Malengo gani ,nitajie nchi duniani iliyopogana kuchukua eneo au kubadilisha mipaka ya nchi hata wakati wa ukoloni walishidwa ikabidi iwepo treaty Russia anapotrza tu nguvu zake kwa jina la operation
Tell me why you strongly believe I have copied.By the way hata Degree yangu ya kwanza,my Lecturer lecture zake ali-copy,sasa kuna ubaya gani mimi niki-copy.Na naamini kaelimu kako kama unako,Mwalimu wako ali-copy.Kukopi kwa kijinga huku.
huyu jamaa kichwani mwake ana kamusi la maneno ya dhihaka, dmitry medvedev si chawa kama alivyo manara, yeye ni akili kubwa. hapo anamwambia tena putin "wapemba wamekuletea tena mzigo wa mafuta ya nazi"Medvedev 😃
View attachment 2253571
Medvedev: I am often asked why my Telegram posts are so harsh.
The answer is I hate them. They are bastards and geeks. They want death for us, Russia. And as long as I'm alive, I will do everything to make them disappear.
Tatizo kuu la afrika asilimia kubwa ya decision makers ni wapumbavu na Siyo wajinga, viongozi wengi na wasaidizi wao waliopo kwenye madaraka wapo Kwa ajili ya kuhakikisha nchi za west zikitaka kutuibia kusiwe na ugumuBinafsi huwa nasikitika sana ninaposikia bara la Africa linakuwa na njaa!!
Hatukupaswa kuwa na njaa kabisa bara lenye ardhi, rutuba, mito tunaliaje njaa.
Viongozi wetu wote kwa pamoja ni matheing sana.
tafsiri isio rasmi ya hiyo video. "wewe bwege amka na jitambulishe, naitwa pandu ameri kutoka chernobyl. wewe bwege kwa nini umejisalimisha kwetu haliyakuwa umepewa javelin". mzee mpapaso wenu ni wa hatari ndio maana nimejisalimishaView attachment 2253637
⚔️⚔️⚔️Acceptance of captured Ukrotards Ukrainian defense is crumbling, there are more and more prisoners⚔️⚔️⚔️
Ukweli ni kuwa amepogana vita na mtu ambaye hana hata jeshi wala silaa na ajaweza ku achieve anything for more than 100 days
Hivi unaelewa unacho kiongerea mkuu!Shida Putin haambiwi ukweli na makamanda wake kwa sabbau wanajua wakimwambia ukweli anawafukuza,anawatesa nk .This week amewatumua majener.ali wake 5
Mkuu pole sana. Hii ingekua kweli si Ukraine angeshashinda vita.Recent updates as of 07.06.2022
My take:Bora Putin aachane na hii vita Haina maslahi yeyote kwake Wala kwa Urusi.Imeandikwa ,"Kabla ya anguko huanza kiburi"
View attachment 2253852
Yani wewe unaishi sayari ipi? Hujui kuwa ni Russia Vs NATO ila wote wapo away ground huko Ukraine?Ukweli ni kuwa amepogana vita na mtu ambaye hana hata jeshi wala silaa na ajaweza ku achieve anything for more than 100 days
Labda kutokana na uwezo wa akili yake anaona kama USA na NATO wanaipatia Ukraine mawe, mishale na upinde.Yani wewe unaishi sayari ipi? Hujui kuwa ni Russia Vs NATO ila wote wapo away ground huko Ukraine?
Au una maanisha NATO hawana siraha?
Naamini atakuelewa. Pia atenganishe kila anacho tamani kuwa Russia azidiwe na uhalisia kuwa Russia anawapiga vibaya Ukraine+NAT0Labda kutokana na uwezo wa akili yake anaona kama USA na NATO wanaipatia Ukraine mawe, mishale na upinde.
mahaba yakizidi matokeo yake ni upofu wa akili na macho. hivyo nakuomba mkuu wangu UPOPO punguza mahaba kabla hujaharibika zaidi.
Mwambie huko Syria kuna vilima vya Syria Israel anavikaliaIsrael alichukua sinai. America alichukua majimbo ya Mexico. Russia sliced finish.
Lakini muhimu ni human Values, family na religion.
Sio Siraha ni Silaha.Nani kasema NATO na Russia wanaopigana ni Russia na Ukraine acha ujinga wa kujitia ushabiki maandazi .US na NATO wanatoa silaha na misada mingine.Kwa hiyo tuseme Urusi ,China ,Belarus nk wanapigana na Ukraine ,US ,NATO etc.Hiyo vita imetangazwa wapi .Watanzania kukuza mambo mpo.Karibu mtasema Ukraine inapikana vitata na Russia na JF .Yani wewe unaishi sayari ipi? Hujui kuwa ni Russia Vs NATO ila wote wapo away ground huko Ukraine?
Au una maanisha NATO hawana siraha?