🇪🇺The European Commission will allow Hungary and Slovakia not to impose an embargo on oil from Russia.

Reuters writes about it.

The ban on oil supplies from Russia is likely to be introduced in stages and will come into force only at the beginning of next year, agency sources say.

@SputnikLive
 
Gazprom wanapiga propaganda wakati ukweli uko hivi 👇

Screenshot_20220502-152356.png
 
▫️ A Ukrainian MiG-29 fighter was shot down during an air battle in the SLAVYANSK area.

▫️ In total, since the beginning of the special military operation, the following have been destroyed: 146 aircraft, 112 helicopters, 683 unmanned aerial vehicles, 281 anti-aircraft missile systems, 2,756 tanks and other armored combat vehicles, 316 multiple launch rocket systems, 1,234 field artillery and mortar guns, as well as 2563 units of special military vehicles.

#Ministry of Defense #Russia #Ukraine @mod_russia
 
Ushimen ubishi kwako upo damuni,siku umeacha kurusha riwaya humu?
Misio mbishi bwana mkubwa, sema nina tabia ya kuwaza tofauti na kutoa maoni tofauti na mtazamo wa kawaida kabisa....😂 Na ninapenda kufanya hivyo ili kuona ama kupata hoja zenye misimamo na shibe zaidi hapa Jf...😊
 


Evacuation from Mariupol.
Filming from drones purchased at the expense of channel readers.

Especially for those worried about the fact that someone is being released. Information directly from the field.

1. All evacuees from Azovstal go through a check of documents and personal data.
2. If there are questions, then such people are delayed until all points are clarified.
3. Nobody will let anyone go without checking. Filtration is a mandatory procedure for everyone who leaves Azovstal.
4. The attempts of the Nazis to dress up as civilians are well known, many of these have already been caught at checkpoints during the fighting in the city.
5. The special services are interested in catching such people - on the one hand, this is the replenishment of the exchange fund, on the other hand, the opportunity to catch those who have been prosecuted in the DPR for war crimes.
6. The official position on the military - either captured or in the ground.
 
Dah ka ni kweli nimewaonea huruma hawa jamaa... Wanaangamia kwasababu ya porojo za wanasiasa.

The prosecutor's office of the DPR has filed charges against the British volunteers, for them seen as mercenaries.

The maximum punishment they face is the death penalty.

-6016843178893752571_120.jpg


-6016843178893752572_121.jpg
 
Machine za kuvuna nafaka za UKRAINE zilizoibwa na wanajeshi wa Urusi zimeshindwa kufanya baada ya kuwa deactivated na wenyewe .
My take:Wezi labda tu wazitumie tu kama chuma chakavu🤔
🚜 They stole 5 million dollars worth of harvesters and took them from Ukraine to Chechnya.

CNN told CNN about the robbery of farms in occupied Melitopol.

But the point of history is that, having transported the combines over 1100 kilometers, they could not start them. After all, modern technology was turned off remotely.

Now the "john deers" worth $300 thousand each have one fate - to be dismantled for spare parts.
Screenshot_20220502-160531.png
 
😂😂😂

Kituko kingine hiki...

Upande wa kushoto ni taarifa iliyotolewa na New York post April 29, wakidai Ghost of Kyiv kauwawa kwenye battle na "Identity" yake imekuwa revealed...

Chombo hicho hicho cha habari siku tatu baadae yan 1st May wanatueleza kua Yulr Ghost wa Kyiv doesn't actually exist... wakidai Ukraine Regime wamesema 😂😂😂...

IMG_20220502_160935_674.jpg


So this means that zile taarifa zote za awali kuhusu matukio yaliyofanywa na Ghost of Kyiv walikua wanatudanganya...

Wajomba mie naona ukweli huwa haufichwi labda kucheleweshwa tu au nyie mwasemaje 🤔
 
Guys Picha za kutisha wajeshi wa Ukrain wanapukutika. Kwa ruhusa yenu naweza kuziweka.

⚡Weekdays of war, Izyum front

The evacuation of the corpses of abandoned soldiers of the Armed Forces of Ukraine, they were not needed by their own, they did not pick them up.
Bwashee hii vita inakula kotekote Kwa Waukrain na Warusi Superpower no.2.Inasemekana askari wengi waliokufa na WA Urusi .Hii imefanya Putin kuua hata raia huko Ukraine Ili kulipiza kisasi.Kwenye hivi vita Russia na Putin caught in surprise.Hawakutegemea resistance ya aina hii Toka UKRAINE 🤔
 
Back
Top Bottom