kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 10,689
- 13,131
Ukraine inazidi kusonga mbele
Ukraine inazidi kusonga mbele
Mbona ume-reply kwenye video game SasaRussia ame re allocate troops from Kharkiv to Kherson kwaiyo Russia anasonga Kherson NIKOLAEV na HAWA wameenda kucover maeneo aliyotoka Russia. Kharkiv haina strategic importance km Kherson NIKOLAEV kuelekea I love Oddessa
Wanatia huruma sanaTazama video edited za computer lab zinaonesha warusi wametekwa wanalia kama watoto
Hahaha!Hao mateka wachunwe ngozi wakiwa hai
Mzee wa kulishwa tango pori... Huyo vunjo na kp kipanya ni wehu. Wanavyoleta video, ziwe za kweli au uongo utafikiri russia wao wamekaa tu wanasikilizia kipigo. Wanajibu tena zaidi ya mara 10 yao. Na ushahidi mkuu mixx anauweka hapa toka kwenye vyanzo vya kuaminika. Hii one sided story ni kujidanganya tu. Na taarifa zao ni kutoka kwenye visite vinavyoegemea ukraine. Unaweza kuta page 2 ni wao tu wamejaza video na vicomment vya mipasho. Dunia nzima, inajua na kutambua kuwa Ukraine haitakaa iweze kuishinda russia kwa jambo lolote.Wakuu vunjo , mtarimbo na kp kipanya44 kwanza Pro russia wengi naona wameanza kukubali maeneo yameenda ila wanasema Ukraine hana muda atayaachia. Wameanza kazi ya shekh yahaya kutabiri.
Ushaid gan unataka sasa ,anzisha chombo chako basi ili watu wakuamin
Urusi ina ushaid gan imewafurumusha Ukraine au ushaid gan uliopo kwamba Ukraine hawajasonga mbele.
Hahahaha Leo umekubali kwamba wanakomboa maeneoShida UKRAINE ni ngumu kushikilia hayo maeneo waliyokomboa maana wanatumia nguvu nyingi ila mwisho wa siku wanayapoteza kiwepesi tu.WARUSI sasa ivi wanapigana vita ya akili sio ya kupoteza wanajeshi kizembe.muda msema kweli,tuendelee kuwepo
Ukraine wametumia akili kubwa Sana walichofanya ni kwambaRussia ame re allocate troops from Kharkiv to Kherson kwaiyo Russia anasonga Kherson NIKOLAEV na HAWA wameenda kucover maeneo aliyotoka Russia. Kharkiv haina strategic importance km Kherson NIKOLAEV kuelekea I love Oddessa
Putin is fighting the US,NATO, Europe and Ukraine!You believe fighting all those countries is a simple task?No friend.Infact Russia has indeed proved that it is a super without any shadow of a doubt.Usimlaum sana Putin mkuu,hata yeye alitamani amalizane na Ukraine angalau ndani ya siku 3,akatumia asikari wa parachute waliokuwa wanashuka kama mvua mjini Kyiv
Lakini mambo hayakwenda kama alivyopanga..,ndoto ya Putin ya kuionyesha dunia kuwa yeye ni super pawer kwa kuitiisha Ukraine ndani ya saa 72 ilizimika kama moto wa mshumaa,
Wewe taarifa zako unazitoa wapi?Mzee wa kulishwa tango pori... Huyo vunjo na kp kipanya ni wehu. Wanavyoleta video, ziwe za kweli au uongo utafikiri russia wao wamekaa tu wanasikilizia kipigo. Wanajibu tena zaidi ya mara 10 yao. Na ushahidi mkuu mixx anauweka hapa toka kwenye vyanzo vya kuaminika. Hii one sided story ni kujidanganya tu. Na taarifa zao ni kutoka kwenye visite vinavyoegemea ukraine. Unaweza kuta page 2 ni wao tu wamejaza video na vicomment vya mipasho. Dunia nzima, inajua na kutambua kuwa Ukraine haitakaa iweze kuishinda russia kwa jambo lolote.
US na EU na Nato yao wamepiga hesabu zao vibaya. Matarajio yao ni kilichotokea ni mbingu na ardhi.
Ukraine inapigana na Russia,China,iran,Belarus and North KoreaPutin is fighting the US,NATO, Europe and Ukraine!You believe fighting all those country is a simple job,no friend.Infact Russia is indeed a super power.The ongoing war between Russia and Ukraine has proved that.
Ndio nini sasa umeandika/unasema? Tuedit ili nini? Lala tu ndugu yangu.Wewe taarifa zako unazitoa wapi?
Kwanini na nyie msiedit hizo videos?
Unataka kunambia kua team Russia hamuwezi kuedit hata video moja ya hypersonic inatua kyiv mnazidiwa hadi na bongo movie
Sio kweli.Tupe ushahidi kwamba nchi hizo ulizozitaja majeshi yao yapo Ukraine,na yanapigana kwa niaba ya Russia.Otherwise this will remain fake news.Ukraine inapigana na Russia,China,iran,Belarus and North Korea
Tatizo umedata kijana,kila mnalilia kwamba Ukraine wanaedit videos za uwanja wa vitaNdio nini sasa umeandika/unasema? Tuedit ili nini? Lala tu ndugu yangu.
ona sasa ubongo wako umecheza,kwani kushiriki vita ni hadi hizo nchi zitume majeshi Ukraine? Hao mbuzi wanamsupport Russia waziwazi kabisa wengine wametoa hadi ofa ya wanajeshi,drones feki wengine wameruhusu majesh ya Russia kupita kwenda Ukraine halafu unajifanya haujui? Pro Russia mnatia aibu na huruma kwa kweliSio kweli.Tupe ushahidi kwamba nchi hizo ulizozitaja majeshi yao yapo Ukraine,na yanapigans kwa niaba ya Ukraine.Otherwise this will remain fake news.
Pole yake amshukuru Mungu anaishi bado.Gaidi wa Ukraine aongea kwa uchungu kuwa mashambulizi ya Russia yamekuwa makali Sana. Mashambulizi hayo yamepelekea yeye kukatwa mkono. View attachment 2349247
Russia sio wa kumpa mwezi km kuna cha kufanya FANYA within two days . Russia ataibuka na means za kutisha . Hakuna mipango wa muda mrefu itafanikiwa jamaa ni wakubwa a real superpower with all the means at handsUkraine wametumia akili kubwa Sana walichofanya ni kwamba
Kherson ilikua ni mtego....walitangaza kufanya counter offensive,warusi wakaingia kingi wakatuma wanajeshi kibao na vifaa vya kijeshi Kherson,sasa Ukraine anachokifanya sasa hivi anataka akate supplies za hao wanajeshi (ndo maana unaona kila kukicha wanashambulia madaraja na kila warusi wakijaribu kutengeneza madaraja ya muda yanalipuliwa na HIMARS) then at the same time wakaanzisha mashambulizi Kharkiv wakati hawakutangaza mwanzoni kama watashambulia Kharkiv. Na Kwa Kasi wanayoenda nayo hii (siku mbili wamesonga 50km) kama ukitokea wakaiteka Kupiansk,wanakua wamewatenga wanajeshi wa Urusi waliopo Izyum kupata support yoyote Ile maana wapo Kati. Inakua ni Mariupol part 2.
Ngoja tuone mpaka Mwisho wa mwezi tutakua tumeyapata. Ila Russia kachezea kichapo cha mbwa mwizi huko Kharkiv vifaa vyao vingi vimetekwa wanajeshi wamekimbia
Waukraine walilenga kuishambulia kote Kharkiv na Kherson kamanda wao kamuonya zelensky maana masahibu waliyoyapata yamewaletea hasara kubwa na Russia ndio kawa mjanja akawaachia Kharkiv Ili akamalizane na Kherson Nykolev na mwisho Oddessa . Kharkiv sio issue kwakuwa pale ni mpakani na Russia ni rahisi kudili napo kwa muda muafaka . Anakwenda kulinda bandari na Cremia. Ukraine hakupenda kustopisha counter offensive bali ameharibikiwa pakubwa . Hiyo Kharkiv sio USHINDI sana kwakuwa hakuna hasara ni relocationRussia sio wa kumpa mwezi km kuna cha kufanya FANYA within two days . Russia ataibuka na means za kutisha . Hakuna mipango wa muda mrefu itafanikiwa jamaa ni wakubwa a real superpower with all the means at hands
Sawa lufufuKumbe vita bado inaendelea tu. Nilikuwa porini nachoma mkaa, nikajua Russia ameshaipiga Ukraine siku nyingi na sasa anaimiliki. Kumbe bado anapambana tu. Russia anaweza kuipiga hata North Korea kweli? Atachezea kichapo kibaya sana kwa kiduku. Ka nchi kadogo km Ukraine anakashindwa. Hii vita Russia alikurupuka 100%