Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,598
Marekani yasema kuwa nchi za Ulaya zimesalimu amri kwa matakwa ya Putin juu ya namna mpya ya kufanya malipo ya gas kupitia sarafu ya Ruble ili kuepuka nchi nyingi zaidi za Umoja wa Ulaya zisikatiwe gesi na Russia.
Aisee...Kweli kwa kila 'wababe' kuna mbabe wao zaidi.
Aisee...Kweli kwa kila 'wababe' kuna mbabe wao zaidi.